rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Aisee hizi habari mbaya sana hasa kwa mji uliobanana kama Dar es salaam. Nilidhani ni propaganda ila sasa mambo sio kabisa! Na hizi daladala zetu full kubanana mwendokasi ndo balaaa aisee itakuwa hatari sanaa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mwenyezi Mungu tunusuru.
Mwenyezi Mungu tunusuru.