Ebola

machaedo

Member
Joined
Jan 13, 2017
Posts
37
Reaction score
9
Kwann virus vya Ebola vinaweza kukaa mpaka Miaka Mitatu kwenye Semen ( Shahawa) baada ya Mgonjwa kupona ... Na huweza kuambukiza kwa Sex ingawa hawez kujiambukiza mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann virus vya Ebola vinaweza kukaa mpaka Miaka Mitatu kwenye Semen ( Shahawa) baada ya Mgonjwa kupona ... Na huweza kuambukiza kwa Sex ingawa hawez kujiambukiza mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu jaribu kutafuta incubation period, transmission na epidemiology ya hao virus wa ebora
 
Kwa experience yangu mimi niliyepona Ebola; dawa ya uwakika ni spirit kama nyagi changanya na kitimoto. Hivyo virusi vinapasuka kama popcorn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…