Elections 2015 Ebu mlioguswa na ushindi tumshauri yafuatayo

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Mimi nimeguswa sana na ushindi wa Magufuli sana sana,

Kwanza ili serikal yake isikwame naomba tu azingatie haya,

1.ateue waziri mkuu hasiyekuwa na Makuu hasiyejulikana kabisa, ambaye hawataendeshana, watu wanawasema kina mwakyembe, lakin sioni kama mwakyembe anaweza kuwa waziri mkuu mzuri, nasikia waziri mkuu ni jamaa mmoja kutoka kusini ana taaluma ya ualimu,

2.Kuhusu kuibiwa tumeibiwa sana, cha kufanya afanye maziara mengi sehem mbali mbali
 

Kuna Mtu Mzito Alinambia Sospeter Muhongo Ndo Atapewa, Sikutaka Kubisha lakin waziri mkuu ni mwalimu anatokea maeneo ya kusini
 
wachague yeyote. wtz niwakulazimishiwa. Mungu ndie mteteziwetu. tumejaribu njia ya democrasia imeshindikana.njia ya damu hatutaki. kilichobaki ni kumlilia ALLAH
 
Waziri mkuu lazima awe mkatoliki.
Hutaki unaacha
 
Bado una msimamo ule ule? Teh teh the JPM wanyorosheeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…