Fimbo ya Musa
Member
- Jul 21, 2012
- 94
- 13
yaani hata mkeo mjamzito akikudekea
unaona ni tatizo?
Kuna jamaa mmoja alikuwa akitusimulia yanayomsibu katika ndoa yake, ati mkewe ni mja mzito kwa mara ya kwanza na wanaishi wawili katika nyumba ya kupanga. Jamaa anahuzunishwa na tabia ya mkewe kwan mkewe anadai hawezi kazi yoyote ila rafiki zake wakija anawachangamkia! Halafu anawambia haumwi! Ila mmewe anamwambia ati anaumwa! Bac jamb anaomba ushauri kwenu wana JF Kwani kazi zimemzidi na hana uwezo wa kumuajiri house girl. Nawasilisha...
yaani hata mkeo mjamzito akikudekea
unaona ni tatizo?