goodfool
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 1,668
- 994
Nimekua nikisumbuliwa na tatizo la kifua upande wa kushoto katikati karib na titi. Majibu ya Hospital ndogo ya rufaa kipimo kilireact normal, nikaambiwa sina shida. Huko Muhimbili kiliandika Abnormal, wakasema sina shida pia.
Bado naumwa sana kama kunajipu ndani. Au mwiba unachoma kwenye moyo kulia.
Jf doctors help!!!
Bado naumwa sana kama kunajipu ndani. Au mwiba unachoma kwenye moyo kulia.
Jf doctors help!!!