tatizo haya mambo huwa yanahitaji maelezo ya kutosha, na ndio maana kupitia mitandao kama hivi si rahisi kupata suhulisho la direct.Nimekua nikisumbuliwa na tatizo la kifua upande wa kushoto katikati karib na titi. Majibu ya Hospital ndogo ya rufaa kipimo kilireact normal, nikaambiwa sina shida. Huko Muhimbili kiliandika Abnormal, wakasema sina shida pia.
Bado naumwa sana kama kunajipu ndani. Au mwiba unachoma kwenye moyo kulia.
Jf doctors help!!!
Pole sana. Huko nkinga ndo kwenu au? Nilifikaga longtime kitambo enzi kuna Wazungu wengi sana wakihudumu pale
Angesema ni kwao ningemshauri aende kwa mzee mmoja mganga wa jadi maana hata mie nilienda kutibiwa nikiwa hoi hata kutembea siwezi. Mama akaona isiwe tabu, akanipeleka kwa huyo mganga. Alinikalisha kigodani akaleta chungu kina madawa dawa na magome ya miti kinachemka, akanifunika na mablanketi nikawa napata huo mvuke hewa ya nje hakuna. Joto kali litanishika nikamwaga sana jasho. Akawa anafunua blanketi na kutia vipande vya mawe ya moto ndani ya kile chungu mvuke unajaa. Baada ya kama nusu saa hivi kunitoa nilikuwa nimepona.Hapa umemsaidia au umem interview?
Angesema ni kwao ningemshauri aende kwa mzee mmoja mganga wa jadi maana hata mie nilienda kutibiwa nikiwa hoi hata kutembea siwezi. Mama akaona isiwe tabu, akanipeleka kwa huyo mganga. Alinikalisha kigodani akaleta chungu kina madawa dawa na magome ya miti kinachemka, akanifunika na mablanketi nikawa napata huo mvuke hewa ya nje hakuna. Joto kali litanishika nikamwaga sana jasho. Akawa anafunua blanketi na kutia vipande vya mawe ya moto ndani ya kile chungu mvuke unajaa. Baada ya kama nusu saa hivi kunitoa nilikuwa nimepona.
Ushirikina unaujua? Kutibiwa kienyeji ndo ushirikina? We nawe hasara kabisaPele ushirikina wako huko, sicho alichouliza!
Asante mkuu, echo nilipina. Was normaltatizo haya mambo huwa yanahitaji maelezo ya kutosha, na ndio maana kupitia mitandao kama hivi si rahisi kupata suhulisho la direct.
Fanya kupima vipimo vingine mfano Echo, pia check Lipid profile.
Pamoja na hayo jitahidi kukaa sehemu yenye hewa ya kutosha hasa unapolala, usifanye kazi nzito nzito sana.
Pole.
Ushirikina unaujua? Kutibiwa kienyeji ndo ushirikina? We nawe hasara kabisa
Eti mganaga kweli ni upumpavu wahedi,kwa hiyo ujinga wako ndiyo unataka mwenzako akaufanye?mtu anaekimbiliaga kwa waganga naona kichwa chake hakipo sawa yani ni upuuziAngesema ni kwao ningemshauri aende kwa mzee mmoja mganga wa jadi maana hata mie nilienda kutibiwa nikiwa hoi hata kutembea siwezi. Mama akaona isiwe tabu, akanipeleka kwa huyo mganga. Alinikalisha kigodani akaleta chungu kina madawa dawa na magome ya miti kinachemka, akanifunika na mablanketi nikawa napata huo mvuke hewa ya nje hakuna. Joto kali litanishika nikamwaga sana jasho. Akawa anafunua blanketi na kutia vipande vya mawe ya moto ndani ya kile chungu mvuke unajaa. Baada ya kama nusu saa hivi kunitoa nilikuwa nimepona.
Yeye ana akili kuliko wewe, we ndiyo hasara kabisaUshirikina unaujua? Kutibiwa kienyeji ndo ushirikina? We nawe hasara kabisa