Ecommerce Jumia,kikuu..nk kwa hapa Tanzania ipi inaaminika

Ecommerce Jumia,kikuu..nk kwa hapa Tanzania ipi inaaminika

malisoka

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,860
Reaction score
2,636
Nimekuwa nikiangaika huku na huku nikitafuta platform ya kuweza kuuza bidhaa(products). Hangaika hangaika yangu nimefika mpaka Shopify huko kwa mabeberu na nikagundua bidhaa ninayotaka kuuza ni local not International ijapokuwa gharama sio shida sana. Nimeona nikiingia huko ni kama kumpigia mbuzi gitaaa.

Je kwa hapa Tanzania hakuna websit kama hiyo ambayo ipo active.

Msaada jamani.
 
Kwenye shopify umeshindwa nini? Tuanzie hapo @malisoka
Kilichonishinda shopify ni bidhaa inayotaka kuuza ni local kwa nchi za Tanzania na labda east Afrika tu.

So niliona shopify ni kama International zaidi ndio maana nikakimbilia kuulizi za hapa bongo hata kama ni ya Kenya au uganda hakuna shinda.

Sijui una uzoefu na shopify?
 
Unataka kuuza nini?
Karibu Valumart.co.tz unaweza kutuuzia bidhaa zako tukaziweka kwenye website.
Currently ipo kwenye matengenezo
 
Unataka kuuza nini?
Karibu Valumart.co.tz unaweza kutuuzia bidhaa zako tukaziweka kwenye website.
Currently ipo kwenye matengenezo

ikipona utustue tuifanyie reviews.
 
Nakumbuka nilifungua uzi humu wa kutoa wito wa kwanini tusiungane tukatengeneza platform yetu wenyewe!?? Na kila mtu akawa na account yake, ili tuweke jitihada kubwa kwenye kuitangaza..

Watu wagumu sana kuona fursa na kuiendeleza... any way.. karibu wajasitz.com mkuu.. labda tunaweza kufanya Jambo..
 
Back
Top Bottom