habari zenu wakuu, Mimi natarajia kumaliza kidato cha sita mwezi ujao, napenda nichukue Degree ya Economics. kwa hiyo naombeni mnieleze Faida za mtu atakayehitimu katika fani hiyo, changamoto zake na vilevile wenye fani hiyo huwa wanashika/wanapewa nafasi gani katika mashirika ya umma au ya binafsi?
Jitahidi ufaulu vizuri hiyo ni kozi nzuri na wachumi wanahitajika sana hasa ktk maeneo ya Reseach, Policy making, kwenye private sector pia wanahitajika. Ni kozi ambayo ipo wide sana kwenye banking sector wapo, viwandani wapo almost everywhere. Na ni rahisi kufanya hata vitu vingine kama Monitoring and evaluation nk.
habari zenu wakuu, Mimi natarajia kumaliza kidato cha sita mwezi ujao, napenda nichukue Degree ya Economics. kwa hiyo naombeni mnieleze Faida za mtu atakayehitimu katika fani hiyo, changamoto zake na vilevile wenye fani hiyo huwa wanashika/wanapewa nafasi gani katika mashirika ya umma au ya binafsi?
Kwa kukushauri tu... usijilimit kwenye uchumi pekee... kuna kozi kama BAF hasa za mzumbe na ardhi nazo zitakufaa na zina future nzuri wenda kuliko huo uchumi!! Btw maliza kwanza form6 naiman utapata mwangaza zaidi!!! Kila la heri na masomo mema!!
Habari zenu wakuu,
Mimi natarajia kumaliza kidato cha sita mwezi ujao, napenda nichukue Degree ya Economics.
Kwa hiyo naombeni mnieleze Faida za mtu atakayehitimu katika fani hiyo, changamoto zake na vilevile wenye fani hiyo huwa wanashika/wanapewa nafasi gani katika mashirika ya umma au ya binafsi?