Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 861
- 1,547
Habari zenu Wakuu
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kazi iendelee
Lengo la uzi huu ni kwa wale wataalamu wa Uchumi tukutane hapa na kupeana madini mbalimbali,pia kwa wale wenye maswali ya kiuchumi waweze kupatiwa ufumbuzi
Pia uzi huu unaweza kutumika kama Connection endapo kutatokea michongo ya wachumi kuhitajika sehemu fulani
Kwahiyo basi niwakaribishe wachumi wote either kwa maswali au kama kuna elimu yoyote ya kiuchumi unataka kuiwasilisha katika jamii yako ni vyema pia
Karibuni sana
It's me Foffana
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kazi iendelee
Lengo la uzi huu ni kwa wale wataalamu wa Uchumi tukutane hapa na kupeana madini mbalimbali,pia kwa wale wenye maswali ya kiuchumi waweze kupatiwa ufumbuzi
Pia uzi huu unaweza kutumika kama Connection endapo kutatokea michongo ya wachumi kuhitajika sehemu fulani
Kwahiyo basi niwakaribishe wachumi wote either kwa maswali au kama kuna elimu yoyote ya kiuchumi unataka kuiwasilisha katika jamii yako ni vyema pia
Karibuni sana
It's me Foffana