Eddo kumwembe: Goli la Singida fountain Gate ni goli halali kabisa sema mwamuzi kawanyima goli

Hukuangalia wewe mpaka usubiri edo aseme? Mlikandwa na Ihefu bado akili hazijakaa sawa. [emoji706][emoji706]
 
Reactions: BRN
Marefa wamempandisha Tembo juu ya mti, sasa kazi iliyobaki ni kuzuia asishuke je! Watafanikiwa, Ngoja tuone.
 
Wenye akili tayari tumeshajua Nini kinachoendelea kwa Hawa marefa.


Endeleeni kukaza mafuvu shubamiti.

Edo alisomea wapi urefalii?
Mpira tu nna mashaka kama alishawahi kucheza sembuse huo uamuzi.

Kuna uwanja wa shule karibu na kanisa nishawahi kumwona akigusa, nikajua hata danadana 2 hawezi.
 
Edo alisomea wapi urefalii?
Mpira tu nna mashaka kama alishawahi kucheza sembuse huo uamuzi.

Kuna uwanja wa shule karibu na kanisa nishawahi kumwona akigusa, nikajua hata danadana 2 hawezi.
Achana na Edo yeye anasimamia ukweli.
Kama Mangungu alishawahi kusema Tff ina wanyanyasa na wanaweza hamia Ligi ya Zanzibar, ivi kiongozi wa mpira asiyejua ata izi ni ligi mbili ni tofauti na hoja yake ni ya kipuuzi aliwezaje kuwa mwenyekiti wa simba?
Mwisho wake ana mleta Manzoki kwenye mkutano wa wanachama wote na kuwarubuni anamsajili dirisha dogo[emoji3][emoji3][emoji3]
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…