NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
HAYO NI MAONI YA WADAU LAZIMA TUWEKE HUMU.Hivi hamuwezi kuangalia mpira mpaka msikie Edo kumwembe kasema Nini?
Hata wewe ungeandika ulivyoona na wadau wakajadiliHAYO NI MAONI YA WADAU LAZIMA TUWEKE HUMU.
NIMESHAANDIKA SANA KWANI HUJAONAHata wewe ungeandika ulivyoona na wadau wakajadili
Ukweli mchungu.Huyo Edo ni refari mstaafu au active referee ili tumsikilize?
Namimi ni mdau nasema hiviii "GOLI HALIKUWA HALALI NI OFFSIDE "HAYO NI MAONI YA WADAU LAZIMA TUWEKE HUMU.
MDAU WA MCHONGO.Namimi ni mdau nasema hiviii "GOLI HALIKUWA HALALI NI OFFSIDE "
Wenye akili tayari tumeshajua Nini kinachoendelea kwa Hawa marefa.
Endeleeni kukaza mafuvu shubamiti.
Achana na Edo yeye anasimamia ukweli.Edo alisomea wapi urefalii?
Mpira tu nna mashaka kama alishawahi kucheza sembuse huo uamuzi.
Kuna uwanja wa shule karibu na kanisa nishawahi kumwona akigusa, nikajua hata danadana 2 hawezi.