Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaE D D O K U M W E M B E
[emoji860]"Jana Yanga kashinda moja kwa tabu akaupiga mpira mwingi .. Leo Simba kashinda kiurahisi lakini hajaupiga mwingi. Wote wamefanya kitu muhimu POINT TATU. Yote ni sawa tu"
[emoji860]"Nimeona kuna mahala watu wa Simba wanalalamika kuhusu kiwango. Tatizo ni kujaribu kushindana kwa kila kitu. Naona ni ujinga tu. Wakati mwingine hata kama shati lilibana jaribu kuvaa koti kubwa ujitutumue kwa mtani"
NB: sisi makolo tujikubali na soka letu .....kivyetu vyetu ....wananchi watatupotezaView attachment 2758072
we binti mumeo huwa unampikia chakula lakini?E D D O K U M W E M B E
[emoji860]"Jana Yanga kashinda moja kwa tabu akaupiga mpira mwingi .. Leo Simba kashinda kiurahisi lakini hajaupiga mwingi. Wote wamefanya kitu muhimu POINT TATU. Yote ni sawa tu"
[emoji860]"Nimeona kuna mahala watu wa Simba wanalalamika kuhusu kiwango. Tatizo ni kujaribu kushindana kwa kila kitu. Naona ni ujinga tu. Wakati mwingine hata kama shati lilibana jaribu kuvaa koti kubwa ujitutumue kwa mtani"
NB: sisi makolo tujikubali na soka letu .....kivyetu vyetu ....wananchi watatupotezaView attachment 2758072
Mpira sio nyeto mkuuYaaah mkuu....mpira ulipigwa sio wa viwango vya kibongo
Huyu jamaa mi mwaka wa sita simfuatilii baada ya kuona ni tapeli mmoja anayekula kwa ujinga wa wanaomfuatilia.E D D O K U M W E M B E
[emoji860]"Jana Yanga kashinda moja kwa tabu akaupiga mpira mwingi .. Leo Simba kashinda kiurahisi lakini hajaupiga mwingi. Wote wamefanya kitu muhimu POINT TATU. Yote ni sawa tu"
[emoji860]"Nimeona kuna mahala watu wa Simba wanalalamika kuhusu kiwango. Tatizo ni kujaribu kushindana kwa kila kitu. Naona ni ujinga tu. Wakati mwingine hata kama shati lilibana jaribu kuvaa koti kubwa ujitutumue kwa mtani"
NB: sisi makolo tujikubali na soka letu .....kivyetu vyetu ....wananchi watatupotezaView attachment 2758072
Edo ni nani.?. Naye n kama wadada wengine tuE D D O K U M W E M B E
[emoji860]"Jana Yanga kashinda moja kwa tabu akaupiga mpira mwingi .. Leo Simba kashinda kiurahisi lakini hajaupiga mwingi. Wote wamefanya kitu muhimu POINT TATU. Yote ni sawa tu"
[emoji860]"Nimeona kuna mahala watu wa Simba wanalalamika kuhusu kiwango. Tatizo ni kujaribu kushindana kwa kila kitu. Naona ni ujinga tu. Wakati mwingine hata kama shati lilibana jaribu kuvaa koti kubwa ujitutumue kwa mtani"
NB: sisi makolo tujikubali na soka letu .....kivyetu vyetu ....wananchi watatupotezaView attachment 2758072
Ushabiki wa timu za mpira wa miguu una raha na karaha zake.E D D O K U M W E M B E
[emoji860]"Jana Yanga kashinda moja kwa tabu akaupiga mpira mwingi .. Leo Simba kashinda kiurahisi lakini hajaupiga mwingi. Wote wamefanya kitu muhimu POINT TATU. Yote ni sawa tu"
[emoji860]"Nimeona kuna mahala watu wa Simba wanalalamika kuhusu kiwango. Tatizo ni kujaribu kushindana kwa kila kitu. Naona ni ujinga tu. Wakati mwingine hata kama shati lilibana jaribu kuvaa koti kubwa ujitutumue kwa mtani"
NB: sisi makolo tujikubali na soka letu .....kivyetu vyetu ....wananchi watatupotezaView attachment 2758072