Edina mwanangu, uzuri wako ni wa babaako. Usikosee kuchagua mume

Edina mwanangu, uzuri wako ni wa babaako. Usikosee kuchagua mume

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Habarini

Mwanangu ni mrembo Sana hata kuliko Mimi mamaako
Screenshot_20221230-173648.jpg

Umechagua baba wa wanao mzuri sana ni tatizo na ukichagua mbaya Sana ni tatizo pia. Uwe una balance.

Edina mwanangu uzuri wako ni kwa sababu nilijua kumchgua baba ako. Usikosee kuchagua mume.
Screenshot_20221230-173630.jpg


Aliwahi kusema jackline kwenye Uzi wake.

""Kosea vyote, usikosee mume
 
Mama Edina,
Tunaweza kuongea chemba kidogo tofauti na hapa, nataka nikuongezee cha kumshauri mtoto wetu Dinah.
 
Wanawake wa siku hizi wanazaa watoto wazuri sana
 
Dah.....ningefurahi sana kama ningechanganya damu na Edina 🤣 🤣
 
Unazungumzia uzuri upi?
Uzuri Wa nje au wa ndani?
 
Back
Top Bottom