Edo Kumwembe awaponda wachezaji wa Yanga SC kwa upigaji mbovu wa penati

Edo Kumwembe awaponda wachezaji wa Yanga SC kwa upigaji mbovu wa penati

Qatif

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2014
Posts
379
Reaction score
860
EoaWpSpXYAEtjUS.jpg

Kutoka kwa Mchambuzi wa kituo cha Wasafi FM Eddo Kumwembe.

Ahhhh ndio maana kila siku napoteza mapenzi na huu mchezo. Mchezo umekuwa laini sana well, nasikia hii ya kwamba kipa wa Simba Ally alikuwa anaondoka haraka katika mstari ndio maana Yanga wakakosa Penalti.

Guys haya masheria yenu yameanza siku hizi, zamani wakati nacheza kipa atoke au asubiri lazima penalti yangu iende nyavuni. Am sure wachezaji wa Yanga walikosa penalti zao wajilaumu wenyewe kwa upigaji wa kibwege kuliko Ally kuwahi kutoka katika mstari hatua 12 ni karibu mno mtu kutupia nyavuni.
 

Kutoka kwa Mchambuzi wa kituo cha Wasafi FM Eddo Kumwembe.

Ahhhh ndio maana kila siku napoteza mapenzi na huu mchezo. Mchezo umekuwa laini sana well, nasikia hii ya kwamba kipa wa Simba Ally alikuwa anaondoka haraka katika mstari ndio maana Yanga wakakosa Penalti.

Guys haya masheria yenu yameanza siku hizi, zamani wakati nacheza kipa atoke au asubiri lazima penalti yangu iende nyavuni. Am sure wachezaji wa Yanga walikosa penalti zao wajilaumu wenyewe kwa upigaji wa kibwege kuliko Ally kuwahi kutoka katika mstari hatua 12 ni karibu mno mtu kutupia nyavuni.
Penati za siku hizi nyingi zinapigwa za kasi na zenye nguvu ukiachilia mbali ufundi maana inaongeza uwezekano wa mpira kuingia nyavuni hata kama kipa ataufuata. Salum kuruka upande sahihi kwa penati zote na kudaka 3 ina maana wapigaji ndiyo wabovu.
 
Penati za siku hizi nyingi zinapigwa za kasi na zenye nguvu ukiachilia mbali ufundi maana inaongeza uwezekano wa mpira kuingia nyavuni hata kama kipa ataufuata. Salum kuruka upande sahihi kwa penati zote na kudaka 3 ina maana wapigaji ndiyo wabovu.
Halafu hapo hapo kwenye kupigwa kwa kasi, kuna wachezaji wengine wanatishia kwanza kupiga halafu golikipa akipotea kisha wanaachia shuti, na Penalti ya mwisho Diara aliwahi kutoka kwenye mstari.
 
Halafu hapo hapo kwenye kupigwa kwa kasi, kuna wachezaji wengine wanatishia kwanza kupiga halafu golikipa akipotea kisha wanaachia shuti, na Penalti ya mwisho Diara aliwahi kutoka kwenye mstari.
Hawataki kusema tu ila Diarra jana hata mchezoni hakuwa mzuri, anajiamini kupitiliza. Jana zile pasi zake ndefu nyingi zilikuwa zinapotea.

Kilichowacost Yanga na Singida ni kumdharau Salum. Niliwahi kusema kama kuna wachezaji waliopewa mazoezi magumu kule Uturuki walikuwa ni makipa.
 
Pamoja na yote bado kiwango cha mnyama hakiridhishi. Jana nilishuhudia butua butua nyingi sana kwa mnyama nikajiuliza timu hii kama haita maliza mshindi wa tatu basi iombe tu iingie top four.
 
Kuanzia penalty ya Saido sikuona penalty yyte nzuri ya maana Simba/ Yanga kilichobaki ni bahati
 
Hawataki kusema tu ila Diarra jana hata mchezoni hakuwa mzuri, anajiamini kupitiliza. Jana zile pasi zake ndefu nyingi zilikuwa zinapotea.

Kilichowacost Yanga na Singida ni kumdharau Salum. Niliwahi kusema kama kuna wachezaji waliopewa mazoezi magumu kule Uturuki walikuwa ni makipa.
Diarra kama angekua mbovu kwa jana basi angeruhusu magoli ndani ya dk 90... Jamaa ni kipa wa mpira yule ( makipa wazawa wengi inabid wajifunze namna ya kulinda linda kama diarra).. Swala la golikipa kupoteza mipira sio ishu saan, mipira inapotelea zone ip? kwenye half yake / mpinzani?
 
Pamoja na yote bado kiwango cha mnyama hakiridhishi. Jana nilishuhudia butua butua nyingi sana kwa mnyama nikajiuliza timu hii kama haita maliza mshindi wa tatu basi iombe tu iingie top four.
Hayo ni mapema sana kutoa hukumu, ndo kwanza Ngao ya Jamii.
 
Diarra kama angekua mbovu kwa jana basi angeruhusu magoli ndani ya dk 90... Jamaa ni kipa wa mpira yule ( makipa wazawa wengi inabid wajifunze namna ya kulinda linda kama diarra).. Swala la golikipa kupoteza mipira sio ishu saan, mipira inapotelea zone ip? kwenye half yake / mpinzani?
Jana Simba haikuanza na mindset ya kushambulia ndiyo maana uliwaona kina Boko uwanjani wakati kina Baleke, Kibu na Phiri wako nje. Uwezo wa kuanzisha mashambulizi ni moja ya sifa ambazo mmekuwa mnampa Diarra kwa hiyo akiwa anapoteza mipira timu lazima iathirike.

Halafu sijatumia neno "mbovu" nimesema jana hakuwa vizuri. Sipendagi kutumia maneno makali bila sababu za msingi. Mwingine ambaye jana hakuwa vizuri kuliko kawaida yake ni Kapombe.
 
Pamoja na yote bado kiwango cha mnyama hakiridhishi. Jana nilishuhudia butua butua nyingi sana kwa mnyama nikajiuliza timu hii kama haita maliza mshindi wa tatu basi iombe tu iingie top four.
Halafu si mara zote ukicheza vizuri utapata matokeo ya ushindi, kuna wakati mbinu ndo huamua matokeo ya ushindi hasa hizi game za kombe uwanjani.
 
Kuanzia penalty ya Saido sikuona penalty yyte nzuri ya maana Simba/ Yanga kilichobaki ni bahati
Yaani hata ya Onana ambaye Diara alipoteza maboya nayo siyo? Unataka penalty zipige kama Krosi au Kona [emoji1787]
 
Kuanzia penalty ya Saido sikuona penalty yyte nzuri ya maana Simba/ Yanga kilichobaki ni bahati

Hujaangalia mpira wew.

Penati ya ONANA haina mfano aseee

Ni level za kina gaucho, messi zile.


Diara kaenda mashariki penati imeenda kusini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Penati za siku hizi nyingi zinapigwa za kasi na zenye nguvu ukiachilia mbali ufundi maana inaongeza uwezekano wa mpira kuingia nyavuni hata kama kipa ataufuata. Salum kuruka upande sahihi kwa penati zote na kudaka 3 ina maana wapigaji ndiyo wabovu.
Upigaji mbovu, umeshajua jamaa mzuri ukipiga kushoto still wachezaji wanapiga kule kule, what do you expect?
 
Back
Top Bottom