Edo Kumwembe: Kesi ya Chriss Kope Mutshimba Mugalu ni ngumu, anahitaji kuvumiliwa

Unamaanisha zile kosakosa za kujirudia ambazo alitakiwa tu kujifunza trick ya kuuchop mpira past a goalkeeper
 
Japo haujaniuliza mimi, naomba kukuuliza kitu pia, wewe una nini na Mugalu, mbona unaumia sana anaposemwa vibaya? Kila thread wewe unamkingia kifua, huoni kasoro zake kabisa.
Kwa sababu najua ni mchezaji mzuri na kwenye mpira hiyo kila mchezaji anapitia, kama Messi au aubameyang anakaa mechi 7 hajafunga ye Mugalu ni Nani? Au ukiskia Messi hajafunga mechi 7 unazani waga hapati chances za kufunga?

Mugalu hakuwa hivo na uwezo wake unajulikana ndomana kocha bado anaendelea kuwa na Imani nae, mpira ni mchezo wa psychology, the way mchezaji anakuwa mentally fit ndo jinsi anavopafom uwanjani, mchezaji akiyumba kidogo Tu psychological anapotea mazima maana anacheza na pressure ya nje ya uwanja

Me namtetea kwakuwa najua class is temporary Ila class ni permanent, uwezo aliokuja nao Mugalu sio huu hivo kujiamini kumepungua lakini pia hatuwezi jua nini anapitia, mlio wengi mnamjaji Mugalu kishabiki maandazi na sio kimichezo, na uzuri ni kwamba anatimiza majukumu ya kocha ata kama hajafunga na kocha anataka kumpa confidence upya ili awe clinical tena, kumpiga bechi sio dawa. Nazani nimeeleweka

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Sarpong revisited
 
Kama yanga wameweza kuwavumilia Ykipe, Sarpong na Nchimbi wangeweza kweli kumfukuza Mugalu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…