Lengo la mdhamini wa timu husika ni yeye ajitangaze kupitia hiyo timu mkuu. Unapofuta bango lake hujamtendea haki, japo sijui Kama ana haki ya kushtaki au vp.Wanavunja kifungu kipi cha sheria? Be specific.
Haswaaa!!Kwakufanya hivyo wajue nawao wanafanya kosa Kwa kuondoa nembo ya udhamini bila makubaliano na wahusika na ni kinyume na Sheria, bora wangeacha kupost hizo picha kwasababu siyo lazima wazipost kama wanajua mikataba yao inawazua kufanya hivyo.
Ww upeo wako WA kufkiria n mdogo Sana Rudi shuleKwani lazima wapost hzo picha za simba unajua kuondoa mdhamini wa team kama hvyo ni kosa kisheria
Lakini ukumbuke maoni binafsi si sheria, Unless uniambie kuna vifungu vya sheria.Lengo la mdhamini wa timu husika ni yeye ajitangaze kupitia hiyo timu mkuu. Unapofuta bango lake hujamtendea haki, japo sijui Kama ana haki ya kushtaki au vp.
Huu wa kupoat picha za timu mbalimbali za tz kisha kifuani mnazifuta sababu ya matangazo
Mbona mkipost timu zenu man U na arsenal
Hamfanyi hivyo?View attachment 2389416
Nipo shule mkuu ila kwa sasa nipo likizoWw upeo wako WA kufkiria n mdogo Sana Rudi shule
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
wabongo bhana ujuaji mwingiiiiiHuu wa kupoat picha za timu mbalimbali za tz kisha kifuani mnazifuta sababu ya matangazo
Mbona mkipost timu zenu man U na arsenal
Hamfanyi hivyo?View attachment 2389416
sijajua haswaMimi ama kina edo?
Akitaja hicho kifungu nipigwe ban.Wanavunja kifungu kipi cha sheria? Be specific.