Edo Kumwembe na milioni sita za Azam Tv


Safi hiyo! Jamaa hakurupuki yuko vizuri. He deserves!
 
Ni moja wa wachambuzi bora kabisa kupata kutokea Tz

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Eddo ni mchambuzi bora zaidi kwenye maandishi na mambo ya soka nyuma ya pazia ila mchambuzi bora zaidi wa soka katika uhalisia wake nikimaanisha mchambuzi mechi hadi mechi Dk leakey[/QUOTE]

Dk Leakey Abdallah ana ushabiki fulani hivi ambao hawezi kuuficha katika uchambuzi wake tofauti na Eddo Kumwembe
 
Anelipwa mara 5 zaidi hiyo 6M anapunjwa
 
Edo anachambua vizuri, ingawa mimi namkubali zaidi kwenye makala zake. Lakini mbona mimi kama namuona Dk Rick kama ndiyo mkali zaidi kuliko wote Bongo?
 
Edo anachambua vizuri, ingawa mimi namkubali zaidi kwenye makala zake. Lakini mbona mimi kama namuona Dk Rick kama ndiyo mkali zaidi kuliko wote Bongo?
Dr Leakey huwa anachambua wapi,nilienjoy wakati wa w.cup ,now sijui yupo wapi
 
Nashangaa watoto wanavyokosa adabu umu. Eddo ni mkali ila hafiki ata nusu ya Dr Lick, Dr anachambua mpira awa wengine wanahubiri mpira.

Dr Leakey ni Legendary and Eddo is Legend in making.. Makala za Eddo zimeifanya Mwananchi kuuza gazeti lake kwa urahisi sana kule Kenya
 
Nashangaa watoto wanavyokosa adabu umu. Eddo ni mkali ila hafiki ata nusu ya Dr Lick, Dr anachambua mpira awa wengine wanahubiri mpira.



Hivi leakey anachambua wapi ,last time ilikua pale CH.ten kwenye wc
 
Hivi leakey anachambua wapi ,last time ilikua pale CH.ten kwenye wc

Uwa anachambua ch 10 mara moja moja, tv za bongo hawamuwezi bei so anafanya kama for fun......Ata hivyo ana business zake na mkamali wa ukweli.
 


Sina shaka anastahili anacholipwa. Ukichunguza sana makala zake hasa kwenye magazeti utagundua kuwa ni msomaji mzuri sana wa vyanzo mbalimbali. Ana uwezo wa kuunganisha alichosoma na makala zake bila kuonekana kama mtu anaye copy na ku paste. Hilo linahitaji kutumia akili na si kila mtu anaweza.
Anachowazidi wengine ni kusoma bila kuchoka na kutumia elimu anayopata huko kwa umahiri mkubwa. Ndio maana anaweza anaweza kuelezea suala la mchezaji wa Tanzania kwa kutumia mifano ya wachezaji wa ulaya na amerika ya kusini. BBC wana correspondent wao Latin America anaitwa Tim Vickery na Edo anamtumia vilivyo. Wandishi wangapi wa Tz wanamjua Tim Vickery?
 
uzuri wa edo hana bias... uchambuzi wake hauendeshwi na mihemko na mahaba upofu kama ilivyo kwa wale jamaa zetu wengine wale xxxx
 
uzuri wa edo hana bias... uchambuzi wake hauendeshwi na mihemko na mahaba upofu kama ilivyo kwa wale jamaa zetu wengine wale xxxx

Unawaogopa si uwataje tu wale wa sport bar kina maestro na shafih dauda....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…