Kumbe muhenga mzee mwenzangu.dk leakey ndiio baba wa wachambuzi wote nchini.ila yeye alikuwa anajua kuchambua mechi za nje tu sio hizi za utopolo anadai mara ya mwisho kwenda uwanjani hapa bongo ni zaidi ya miaka 30Kuandika ni mzuri lakini magazeti yana phase out..
Uchambuzi wa kuongea na redio hawezi ..
Iliyobaki atumie Tu jina lake hivyo hivyo..
Hata Shafii dauda ana kigugumizi lakini ndo mtangazaji maarufu..
Mda wao utakuja wote watakuwa replaced..
Kama nchi tumetoka mbali..
Watu hawajui hata Muhidin Issa michuzi aliwahi kuwa mchambuzi wa soka kwenye TV
Mimi bado nakumbuka kuwaona
Dr leaky kushoto ..
Muhidin michuzi katikati
Kulia Eddo ..ndo kwaanza kajitokeza bila hata kulipwa hela kuchambua mpira
Dtv ...
Hii channel bado ipo??
Cc pascal Mayala ....
Hata Pascal alikuwa mwandishi wa michezo
Na sio siasa hapo Dtv ...dah gone the golden days
Shaffih hayupo vizuri popote...Upo Sahihi Lakin pia Hata Shaffih Dauda Ni Mzuri Kwenye Kuongea kuliko Kuandika
Sishangai Kila Mmoja Yupo Kwenye Upande Wake Na Wanafanya Vizuri
Kale sijui hua kana ongea niniAfu kuna yule Privaldinho na yeye kuongea ni mweupe kabisa
Kwa unavyomchukia nahisi amekukazia.Enzi niko sekondari nilikuwa napata marks za juu somo la English ila kuongea ilikuwa shida.
Sasa huyo kumwembe nimefuatilia makala zake kwenye mitandao na gazetini yuko vizuri.
Sababu inaonekana huwa anafanya research kabla ya kuandika, lakini kwenye TV na radio si mzuri, hana sauti, anakosa mtiririko wa kimantiki. Good-looking but not photogenic.
Jina tu linambeba.
Tena shafii kigugumizi chake kinapotea kidogo dogo skuiz enzi anaanza ilikua htry sana,Kuandika ni mzuri lakini magazeti yana phase out..
Uchambuzi wa kuongea na redio hawezi ..
Iliyobaki atumie Tu jina lake hivyo hivyo..
Hata Shafii dauda ana kigugumizi lakini ndo mtangazaji maarufu..
Mda wao utakuja wote watakuwa replaced..
Kama nchi tumetoka mbali..
Watu hawajui hata Muhidin Issa michuzi aliwahi kuwa mchambuzi wa soka kwenye TV
Mimi bado nakumbuka kuwaona
Dr leaky kushoto ..
Muhidin michuzi katikati
Kulia Eddo ..ndo kwaanza kajitokeza bila hata kulipwa hela kuchambua mpira
Dtv ...
Hii channel bado ipo??
Cc pascal Mayala ....
Hata Pascal alikuwa mwandishi wa michezo
Na sio siasa hapo Dtv ...dah gone the golden da
Huwa haongei bali anapiga Makele. Aafu ujuaji mwingiiiiAfu kuna yule Privaldinho na yeye kuongea ni mweupe kabisa
Yule ni kama fabrizio romano anatakiwa viujumbe vifupi tu vya tetesi na analyst fupifupiAfu kuna yule Privaldinho na yeye kuongea ni mweupe kabisa
Kiemba yupo vizuri Sana aisee!!Mtu mwingine mzuri mwenye kuongea ni amri kiemba jamaa yuko njema