Edo Kumwembe: Tuwatafakari kwa kina Sawadogo na Mudathir

Watanzania mkae mkijua hakuna mchezaji mzuri anaweza kuja kucheza east afrika hasa kwenu tanzania.

Hao mnaoletewa akina aziz k,sawadogo ni makapi tu ya huko afrika magharibi
 
Ety huyu nae ni mchambuzi kabisa anasema ety Simba ingemchukua mudathir Simba viungo wa chini wanae kanoute na mzamiru viungo wa juu yupo chama,saido na sometime Hadi Phil Sasa huyo mudathir wenu aje acheze wapi pale simba mudathir syo sita halafu unasema ety angesajiliwa mbadala wa sawadogo nadhani Simba IPO champions league na hao akina mudathir wapo shirikisho Sasa jumapili wamuweke mudathir akiperfom vizur namba sita mbele ya mwaarabu ndo uje useme hizo pumba zako
 
Yanga kipindi cha pili huwa inakata pumzi

Yanga round ya pili ya ligi huwa inakata moto
Siku za hivi karibuni siskii hizi pumba
hahaha sikuizi ligi inachezwa bila VIPORO mkuu. ubingwa wa kupangwa haupo tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…