EDO KUMWEMBE:Uwanja wa Mkapa kujaa saa sita mchana siyo sifa

EDO KUMWEMBE:Uwanja wa Mkapa kujaa saa sita mchana siyo sifa

Oldmantz

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2023
Posts
704
Reaction score
1,457

Msomeni Edo, kaandika madini mazuri sana!huyu jamaa ni mzuri sana katika uandishi


Credit: Mwanaspoti
 
Ni hisia zake tu hizo na kila mtu ana hisia zake
 
Mimi ni mmoja wa watu ambao zamani tulikuwa wahudhuriaji wazuri, lakini hizi kero za kijinga jinga ndio zimenifanya nipunguze munkari wa kwenda huko.
 
Mengi amezungumza kwa usahihi hasa hili la kero, fujo na utaratibu mbovu wa kuingia na kutoka uwanjani.

Ila haya mengine, kuhusu tamasha, I think ameyazungumza kwa jicho la kimpira zaidi na sio kwa ukubwa wa tamasha husika.

Ni mara nyingi nimejumuika na watu ambao sio watu wa mpira, ila tu wamefuata pale burudani.

Hivi hawa watu wajae namna ile sababu ya:

Yanga vs Red Arrows?
Simba vs APR?

Wengi wanafuata burudani tu, je hizi show zinaanza saa ngapi? unakuta muda ya saa nane tu watu wanaanza show.

Haya matamasha asiangalie tu kwa picha ya mpira, ila achukue kwa ukubwa wa entertainment.

By the way, Tayari amejimilikisha akili kuwa wenye akili wana mawazo kama yake, sisi tutasema nini?

Ila kuhusu utaratibu wa kuingia uwanjani tubadilike, sio lazima tuwe kama ulaya, ila hata wakati wa AFL tulifanya poa. Inawezekana.
 
Back
Top Bottom