Edouard Mendy inspirational story

Edouard Mendy inspirational story

pwilo

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
10,913
Reaction score
13,876
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Ule msemo wa usikate tamaa kwenye maisha kila kitu kina mda wake ni wa kweli kabisa japo wengi wetu tunakuwa sio wavumilivu na kuona kama tunachelewa hivi wakati mwingine.

Sikia hii kutoka kwa EDUARDO MENDY:
kwa wale msiofuatilia mpira au msio mfahamu huyu ni mlinda mlango namba moja wa timu ya CHELSEA ya nchini uingereza na timu ya taifa ya SENEGAL iliyochukua AFCON usiku wa juzi.

Wakala wake alimkimbia na kumzimia simu akiwa na umri wa miaka 22 akidai hana kipaji cha mpira na akabakia mtaani mwaka mmoja bila timu.

Alicheza msimu mmoja buree ili aonyeshe kiwango chake lakini hakufanikiwa pia wazazi wake wakaamua kumpeleka ufaransa kwenye academy ya mpira ambayo alipitia POGBA,DIARRA,PAYET NA MAHREZ inaitwa le havre academy nchini ufaransa.

Licha ya kuwa mzuri ila hakupata nafasi ya kucheza nchini ufaransa akaamua kwenda daraja la tatu ili apate mda mwingi wa kucheza katika club ya CHERBOURG mwaka 2011 ambapo alianza soka la kulipwa.

Hakufanya vizuri na baada ya miaka mitatu (2014) baada ya kuachwa alijaribu kumtafuta wakala wake ila hakujibu sms wala kupokea simu baada ya mda mrefu alitumiwa sms na wakala wake akimtakia kila la kheri katika maisha yake ya soka.

Alitaka kuacha mpira akarudi mtaani mwaka mmoja bila timu ila wazazi wake wakaendelea kumpa moyo na kumtaka asikate tamaa na ajaribu tena kwa mara nyingine.

Akiwa na miaka 24 alirudi tena le havre academy ya nchini ufaransa na akacheza bure kwa mwaka mmoja kuonyesha tena kipaji chake.

Mwaka 2015 rafiki yake (TED LEVIE)
akamtaarifu kuna nafasi ya mlinda mlango club ya MARSEILLE na kumuomba ajiunge nao alikubali ombi lake la kujiunga nao na akawa mlinda mlango chaguo la nne.

Huko pia mambo yakawa magumu kwani hakupata nafasi akaondoka na kujiunga na club ya RENNES mwaka 2016 kwa ajili ya kupata mechi nyingi za kucheza na mechi yake ya kwanza kuchezea club yake hiyo ilitokea baada ya kipa namba moja kupewa RED CARD dakika ya 5 tu ya mchezo akaweka rekodi ya clean sheet 3 kati ya mechi 7 alizodakia.

Mwaka 2019 RENNES walimaliza ligi wakiwa nafasi ya tatu na kufuzu kucheza ligi ya mabingwa barani ulaya huku yeye akiwa na clean sheet 14 nyingi zaidi akishika nafasi ya tatu kwa wachezaji wenzake waliomtangulia katika nafasi hiyo.

SEPTEMBER 2020 alijiunga na Chelsea ya nchini uingereza akiwa na umri wa miaka 27 na mpaka sasa akiwa ameshinda;
UEFA,
UEFA SUPER CUP,
UEFA GOAL KEEPER OF THE YEAR,
FIFA BEST GOAL KEEPER OF THE YEAR,
AFCON ,
AFCON BEST GOAL KEEPER .

Never give up on your dreams.
 
Waliofanikiwa wengi hupenda kuweka ama kuonesha walipitia magumu mpaka walipo.

Japo wengi huwa na ukweli kiasi ila pia hutia chumvi nyingi, huweka msoto mkali kichizi kwenye story zao😂, na mbaya zaidi mbinu ovu hazitajwi ila hutaja zile +ve tu, kiasi kwamba ukifata hicho hicho walichosema hutoboi.
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Ule msemo wa usikate tamaa kwenye maisha kila kitu kina mda wake ni wa kweli kabisa japo wengi wetu tunakuwa sio wavumilivu na kuona kama tunachelewa hivi wakati mwingine...
Jana usiku nilipita daraja la manzese na daraja la kimara,nikaona vijana wengi wameweka maboksi chini ya daraja wakijandaa kulala.

Watu kama hao walala nje ,,siku wakija kuleta story za jinsi walivyofanikiwa ndy nitavutiwa sn na history ya maisha yao.

Lakini sio mtu aliyekuwa na fursa zote za maisha lakini alitaka maisha ya juu zaidi..
 
Dah! Sijui Mascout wa Chelsea watamuona na yule Mendy mwingine anayecheze kiungo mkabaji!! Timu anayo chezea itakuwa imelamba dume aisee!!

Dogo alicheza vizuri sana kuanzia mwanzo wa mashindano mpaka mwisho! Na bila shaka kwa kushirikiana kwake na wale mabeki katili Diallo na Coulibary, hakika Eduardo Mendy hakuwa na namna nyingine zaidi ya kuwa mlinda mlango bora wa mashindano .
 
Mendy
98381747.jpg
 
Dah! Sijui Mascout wa Chelsea watamuona na yule Mendy mwingine anayecheze kiungo mkabaji!! Timu anayo chezea itakuwa imelamba dume aisee!!

Dogo alicheza vizuri sana kuanzia mwanzo wa mashindano mpaka mwisho! Na bila shaka kwa kushirikiana kwake na wale mabeki katili Diallo na Coulibary, hakika Eduardo Mendy hakuwa na namna nyingine zaidi ya kuwa mlinda mlango bora wa mashindano .
Yupo Leicester city
 
Wanasemaga kadiri umri unavyoenda ndo golikipa anakuwa mzur zaid
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Ule msemo wa usikate tamaa kwenye maisha kila kitu kina mda wake ni wa kweli kabisa japo wengi wetu tunakuwa sio wavumilivu na kuona kama tunachelewa hivi wakati mwingine.

Sikia hii kutoka kwa EDUARDO MENDY:
kwa wale msiofuatilia mpira au msio mfahamu huyu ni mlinda mlango namba moja wa timu ya CHELSEA ya nchini uingereza na timu ya taifa ya SENEGAL iliyochukua AFCON usiku wa juzi.

Wakala wake alimkimbia na kumzimia simu akiwa na umri wa miaka 22 akidai hana kipaji cha mpira na akabakia mtaani mwaka mmoja bila timu.

Alicheza msimu mmoja buree ili aonyeshe kiwango chake lakini hakufanikiwa pia wazazi wake wakaamua kumpeleka ufaransa kwenye academy ya mpira ambayo alipitia POGBA,DIARRA,PAYET NA MAHREZ inaitwa le havre academy nchini ufaransa.

Licha ya kuwa mzuri ila hakupata nafasi ya kucheza nchini ufaransa akaamua kwenda daraja la tatu ili apate mda mwingi wa kucheza katika club ya CHERBOURG mwaka 2011 ambapo alianza soka la kulipwa.

Hakufanya vizuri na baada ya miaka mitatu (2014) baada ya kuachwa alijaribu kumtafuta wakala wake ila hakujibu sms wala kupokea simu baada ya mda mrefu alitumiwa sms na wakala wake akimtakia kila la kheri katika maisha yake ya soka.

Alitaka kuacha mpira akarudi mtaani mwaka mmoja bila timu ila wazazi wake wakaendelea kumpa moyo na kumtaka asikate tamaa na ajaribu tena kwa mara nyingine.

Akiwa na miaka 24 alirudi tena le havre academy ya nchini ufaransa na akacheza bure kwa mwaka mmoja kuonyesha tena kipaji chake.

Mwaka 2015 rafiki yake (TED LEVIE)
akamtaarifu kuna nafasi ya mlinda mlango club ya MARSEILLE na kumuomba ajiunge nao alikubali ombi lake la kujiunga nao na akawa mlinda mlango chaguo la nne.

Huko pia mambo yakawa magumu kwani hakupata nafasi akaondoka na kujiunga na club ya RENNES mwaka 2016 kwa ajili ya kupata mechi nyingi za kucheza na mechi yake ya kwanza kuchezea club yake hiyo ilitokea baada ya kipa namba moja kupewa RED CARD dakika ya 5 tu ya mchezo akaweka rekodi ya clean sheet 3 kati ya mechi 7 alizodakia.

Mwaka 2019 RENNES walimaliza ligi wakiwa nafasi ya tatu na kufuzu kucheza ligi ya mabingwa barani ulaya huku yeye akiwa na clean sheet 14 nyingi zaidi akishika nafasi ya tatu kwa wachezaji wenzake waliomtangulia katika nafasi hiyo.

SEPTEMBER 2020 alijiunga na Chelsea ya nchini uingereza akiwa na umri wa miaka 27 na mpaka sasa akiwa ameshinda;
UEFA,
UEFA SUPER CUP,
UEFA GOAL KEEPER OF THE YEAR,
FIFA BEST GOAL KEEPER OF THE YEAR,
AFCON ,
AFCON BEST GOAL KEEPER .

Never give up on your dreams.
Unaposema wazazi wake wakaamua kumpeleka ufaransa, unamaanisha nini
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Ule msemo wa usikate tamaa kwenye maisha kila kitu kina mda wake ni wa kweli kabisa japo wengi wetu tunakuwa sio wavumilivu na kuona kama tunachelewa hivi wakati mwingine.

Sikia hii kutoka kwa EDUARDO MENDY:
kwa wale msiofuatilia mpira au msio mfahamu huyu ni mlinda mlango namba moja wa timu ya CHELSEA ya nchini uingereza na timu ya taifa ya SENEGAL iliyochukua AFCON usiku wa juzi.

Wakala wake alimkimbia na kumzimia simu akiwa na umri wa miaka 22 akidai hana kipaji cha mpira na akabakia mtaani mwaka mmoja bila timu.

Alicheza msimu mmoja buree ili aonyeshe kiwango chake lakini hakufanikiwa pia wazazi wake wakaamua kumpeleka ufaransa kwenye academy ya mpira ambayo alipitia POGBA,DIARRA,PAYET NA MAHREZ inaitwa le havre academy nchini ufaransa.

Licha ya kuwa mzuri ila hakupata nafasi ya kucheza nchini ufaransa akaamua kwenda daraja la tatu ili apate mda mwingi wa kucheza katika club ya CHERBOURG mwaka 2011 ambapo alianza soka la kulipwa.

Hakufanya vizuri na baada ya miaka mitatu (2014) baada ya kuachwa alijaribu kumtafuta wakala wake ila hakujibu sms wala kupokea simu baada ya mda mrefu alitumiwa sms na wakala wake akimtakia kila la kheri katika maisha yake ya soka.

Alitaka kuacha mpira akarudi mtaani mwaka mmoja bila timu ila wazazi wake wakaendelea kumpa moyo na kumtaka asikate tamaa na ajaribu tena kwa mara nyingine.

Akiwa na miaka 24 alirudi tena le havre academy ya nchini ufaransa na akacheza bure kwa mwaka mmoja kuonyesha tena kipaji chake.

Mwaka 2015 rafiki yake (TED LEVIE)
akamtaarifu kuna nafasi ya mlinda mlango club ya MARSEILLE na kumuomba ajiunge nao alikubali ombi lake la kujiunga nao na akawa mlinda mlango chaguo la nne.

Huko pia mambo yakawa magumu kwani hakupata nafasi akaondoka na kujiunga na club ya RENNES mwaka 2016 kwa ajili ya kupata mechi nyingi za kucheza na mechi yake ya kwanza kuchezea club yake hiyo ilitokea baada ya kipa namba moja kupewa RED CARD dakika ya 5 tu ya mchezo akaweka rekodi ya clean sheet 3 kati ya mechi 7 alizodakia.

Mwaka 2019 RENNES walimaliza ligi wakiwa nafasi ya tatu na kufuzu kucheza ligi ya mabingwa barani ulaya huku yeye akiwa na clean sheet 14 nyingi zaidi akishika nafasi ya tatu kwa wachezaji wenzake waliomtangulia katika nafasi hiyo.

SEPTEMBER 2020 alijiunga na Chelsea ya nchini uingereza akiwa na umri wa miaka 27 na mpaka sasa akiwa ameshinda;
UEFA,
UEFA SUPER CUP,
UEFA GOAL KEEPER OF THE YEAR,
FIFA BEST GOAL KEEPER OF THE YEAR,
AFCON ,
AFCON BEST GOAL KEEPER .

Never give up on your dreams.
Nikiri kutoka rohoni, miongoni mwa waliomdharau Mendy alupisajiliwa Chelsea ni Mimi. Kweli Mendy umeniprove wrong.
 
Nikiri kutoka rohoni, miongoni mwa waliomdharau Mendy alupisajiliwa Chelsea ni Mimi. Kweli Mendy umeniprove wrong.
Binafsi nimezoea kuona makipa epl wengi wazungu
Kumuona yy nilimuona kama mlugaluga flan nikasema lampard kamtoa wap huyu 😀😀😀
Ameniprove wrong na mm aisee jamaa anajua 👍👍
 
Unaposema wazazi wake wakaamua kumpeleka ufaransa, unamaanisha nini
Kwasababu ilikuwa ameshakata tamaa kwenye soka kwa hyo akaamua kufanya mambo mengine mtaani ila wazazi wake hawakukubaliana nae wakamrudisha tena le havre ya ufaransa aanze upya maisha ya soka.
 
Kwasababu ilikuwa ameshakata tamaa kwenye soka kwa hyo akaamua kufanya mambo mengine mtaani ila wazazi wake hawakukubaliana nae wakamrudisha tena le havre ya ufaransa aanze upya maisha ya soka.
Umesema wakaamua kumpeleka france sasa alitokea wapi wakati france ndio alipozaliwa na ndio anapoishi
 
Back
Top Bottom