Edson Mabele wa kipindi cha Wallpaper - Star Tv

Edson Mabele wa kipindi cha Wallpaper - Star Tv

MdengestanfromCuba

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
629
Reaction score
658
Kwa wale mnaofatilia show ya wallpaper startv mtakua mnamfaham huyu jamaa..mie binafsi sijamkubali huyu mshkaji naona hana swagga na maujanja ya kuwepo pale...pia hata mwonekano wa kistaa hana kabisa bora akatangaze kipindi cha michezo tu...ni maoni yangu wakuu
 
Mie sijawahi kumfatilia kabisa maana ongea tu huwa inanishawishi nizime tv au kubadilisha channel
 
shikamoo lawyer
Marahaba! Unajua Star TV tanzania wako nyuma sana kuanzia mpangilio wa vipindi hadi aina ya watangazaji wanao hitajika kwenye vipindi vya burudani.

Mimi Huyo jamaa sijawai kumuona wala kuona hicho kipindi Lakini sina doubt na yanayo semwa maana Star tv wanajulikana wako nyuma sana.

Tatizo wamejaza wazee kila kipindi wakati kuna vipindi vingine vina hitaji vijana wabichi.

Kuna tangazo lao mmoja ni la mashindano ya kudance sasa linatangazwa kama Habari za kitaifa vile kumbe burudani na lina tangazwa na watu walio zoea kutangaza habari za kisiasa halafu wazee daaa huwa nikiliona nacheka sana daaaaa .......

Star tv wana tatizo kwenye aina ya watu wa kuajiri, Wao wana fikiri kila mtangazaji ana faa kwenye kila idara na cha kushangaza muda wote huo hawajifunzI kwa wenzao EATV.
 
Last edited by a moderator:
hawa startv hawajui kabsa kutafuta mapresenter wajanja!

Kama alivyosema lawyer

kaka Ruttashobolwa uko sawa kabisa maana kuna kipindi sauda mwilima alivyoolewa then akapata matatizo na ujauzito wake kuna huyo. mdada alianza kutazamani jaman unaweza kulia na kuona taaluma imeingiliwa sasa.

ni muda wawe makin na uchaguzi wa watangazaji kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
kama huyu ni lawyer basi hiyo kesi umeshashindwa kabla haijaanza, otherwise aniprove wrong kwa vitendo na kuonesha kwa vitendo lawyer ni mtoa huduma kwa wote ilimradi alipwe stahili zake.

mpwa mi namuamini lawyer wangu hajawahi kuniangusha kwenye sakata lolote....
 
Marahaba! Unajua Star TV tanzania wako nyuma sana kuanzia mpangilio wa vipindi hadi aina ya watangazaji wanao hitajika kwenye vipindi vya burudani.

Mimi Huyo jamaa sijawai kumuona wala kuona hicho kipindi Lakini sina doubt na yanayo semwa maana Star tv wanajulikana wako nyuma sana.

Tatizo wamejaza wazee kila kipindi wakati kuna vipindi vingine vina hitaji vijana wabichi.

Kuna tangazo lao mmoja ni la mashindano ya kudance sasa linatangazwa kama Habari za kitaifa vile kumbe burudani na lina tangazwa na watu walio zoea kutangaza habari za kisiasa halafu wazee daaa huwa nikiliona nacheka sana daaaaa .......

Star tv wana tatizo kwenye aina ya watu wa kuajiri, Wao wana fikiri kila mtangazaji ana faa kwenye kila idara na cha kushangaza muda wote huo hawajifunzI kwa wenzao EATV.

Kama ulicheka basi limekuvutia kama limekutia 'adhma yao imetimia'
 
kama ulicheka basi limekuvutia kama limekutia 'adhma yao imetimia'
No Mkuu kifimbo cheza! Unajua hapa kinacho ongelewa ni aina ya watangazaji na kazi wanazo pewa! Mimi nimecheka maana naona kama taarifa ya habari sasa ni wangapi hawavutiwi kabisa?

Star TV wana hitaji kubadilika
 
Last edited by a moderator:
No Mkuu kifimbo cheza! Unajua hapa kinacho ongelewa ni aina ya watangazaji na kazi wanazo pewa! Mimi nimecheka maana naona kama taarifa ya habari sasa ni wangapi hawavutiwi kabisa?

Star TV wana hitaji kubadilika

pouwa 'lawyer' nimekuelewa
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi huyo kaka anivutii kuangalia kipindi ana swaga za kutangaza kabisa
 
Pamoja na Star TV kuwepo muda mrefu wana zidiwa hadi na clods tv ya juzi tuu!

Kama alivyosema lawyer

kaka Ruttashobolwa uko sawa kabisa maana kuna kipindi sauda mwilima alivyoolewa then akapata matatizo na ujauzito wake kuna huyo. mdada alianza kutazamani jaman unaweza kulia na kuona taaluma imeingiliwa sasa.

ni muda wawe makin na uchaguzi wa watangazaji kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
Star TV mie huangalia tamthilia na taarifa ya habari pekee
 
Vipindi vyao vimepooza balaa kiasi cha kwamba nilikuwa natamani waanzishe channel nyingine inayoenda na wakati na wawaajiri wanaoenda na wakati na hii chaneli ya sasa iendelee kama kawaida na vipindi vyao vya kilimo,ufugaji na mambo ya vijijini.Star tv ilikuwa inawafikia wengi hata kabla ya digital ni kituo kikubwa watambue hilo.
 
Vipindi vyao vimepooza balaa kiasi cha kwamba nilikuwa natamani waanzishe channel nyingine inayoenda na wakati na wawaajiri wanaoenda na wakati na hii chaneli ya sasa iendelee kama kawaida na vipindi vyao vya kilimo,ufugaji na mambo ya vijijini.Star tv ilikuwa inawafikia wengi hata kabla ya digital ni kituo kikubwa watambue hilo.

Yaani nilidhani mimi tu naeliona hilo
 
Back
Top Bottom