luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Wadau Habarini za asubuhi wana jumuiya ya EAC, katika pitapita zangu mtandaoni nikakutana na paper review kipindi cha TV kina rushwa na KTN (Kenya) sasa kuna gazeti limeripoti uwepo wa degree programs 133 ambazo ni useless na watahiniwa wake wana struggle ktk soko la ajira. Kiukweli hii changamoto sio kwa Kenya tu.
Source
Source