luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Wadau Habarini za asubuhi wana jumuiya ya EAC, katika pitapita zangu mtandaoni nikakutana na paper review kipindi cha TV kina rushwa na KTN (Kenya) sasa kuna gazeti limeripoti uwepo wa degree programs 133 ambazo ni useless na watahiniwa wake wana struggle ktk soko la ajira. Kiukweli hii changamoto sio kwa Kenya tu hata hapa TZ kuna hii shida ni kama vyuo vinatoa tu degree programs ambazo zinakwenda kuwapoteza wasomi na vyuo kutiapesa kipindoni.
Source
Wadau Habarini za asubuhi wana jumuiya ya EAC, katika pitapita zangu mtandaoni nikakutana na paper review kipindi cha TV kina rushwa na KTN (Kenya) sasa kuna gazeti limeripoti uwepo wa degree programs 133 ambazo ni useless na watahiniwa wake wana struggle ktk soko la ajira. Kiukweli hii changamoto sio kwa Kenya tu hata hapa TZ kuna hii shida ni kama vyuo vinatoa tu degree programs ambazo zinakwenda kuwapoteza wasomi na vyuo kutiapesa kipindoni.
Source
hahahaha watu wameingia field kufanya tafiti ndugu
hilo ni kweli lkn hii mada imebeba uzito sababu ya tatizo la YOUTH UNEMPLOYMENTTafiti nyingine ni upotoshaji sana, hazini misingi mizuri
a tree is known by its fruit
hilo ni kweli lkn hii mada imebeba uzito sababu ya tatizo la YOUTH UNEMPLOYMENT