educatîon forum nahis mtakua na msàda kwangu

Carla

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2012
Posts
398
Reaction score
331
deadline ya kuappeal ni lini? na je kuna faida juu ya hili?
 
Ni kabla ya post za form five kutoka
Unataka kuapeal una uhakika wa kufaulu?
Sent from iPhone
 
yes G nilikua nazichanga kwanza xo nimexhapata ndo mana naulizia deadln na process je?

unajua kwanini nakuuliza una uhakika? Ni kwamba wakikusahihishia tena pepa na ukawa umefaulu gharama zako zote na muda wako uliopoteza utalipwa fidia
sent from iPhone
 
unajua kwanini nakuuliza una uhakika? Ni kwamba wakikusahihishia tena pepa na ukawa umefaulu gharama zako zote na muda wako uliopoteza utalipwa fidia

am sure g! i surely dnt deserve wot i got ikiwa hvyo ntafurah xana xo process zpoje km upo mkoan lzm uende baraza palepale!
 
Lazma uende lakini uende na fomu ambayo imeshajazwa ambayo inapatikana kwenye(unatakiwa utumie kompyuta kuidownload)
www.necta.go.tz/forms/FOMU_ YA_RUFAA.doc alafu uiprint.ukimaliza uende nayo baraza ili kuokoa gharama za nenda rudi nenda rudi kwasababu hii fomu inapatikana pale baraza kwa hyo hapo itakuwa rahisi sana kwa sababu utakuwa unaenda moja kwa moja ukiwa umekamilika
Sent from iPhone
 
am sure g! i surely dnt deserve wot i got ikiwa hvyo ntafurah xana xo process zpoje km upo mkoan lzm uende baraza palepale!

kwa uandishi wako huo dogo... Kama utabadilishiwa matokeo yako.. Ntakupa laki4 cash.. Muhimu uje na proof... "Xana'',.''Wot''.. Disgusting.
 
deadline ya kuappeal ni lini? na je kuna faida juu ya hili?

aisee Mungu wangu,nakuomba dogo usiwaze wala kufanya hicho kitu,nakuomba upitie matokeo ya last year appeal kama utaiona "C" dogo mpango huo ni wakukusanya pesa tu,jaribu kuumiza kichwa kidogo ,paper za wanafunz laki 4,uje utafutiwe box la shule yako! Utafutiwe paper yako! Wakae chini wapitie upya! Na officer gani pale barazani????? Dogo nakuomba pls nina experience na hayo mambo,usijaribu kabisaaa...USHAURI:kama matokeo yako yanaruhusu kujoin chuo chochote pls kachukue certificate,mwaka kesho diploma then 2016 utakuwa unasoma degree yako,after all utakuwa na kazi tayar mkononi mwako,kwenda direct form 5&6 unapunguza mda bt kama unaenda kusoma social science programs itakucost tu! Dont bother u'r money dogo,necta watakuibia then ndo utakumbuka maneno yangu,Good luck young boy!
 

utaratibu hauko hivyo,ulishabadilika,unatakiwa kwenda post offices kuna form maalum ya kuapeal utapewa na utaijaza pia mwl mkuu wako atajaza na kuonesha uthibitisho kwa official seal,then unarudisha post office,kila somo unalo appeal sh 20,000/= then unasubiri matokeo ujutie fedha zako na mda almost baada ya wiki 3-4,NOTE Pls usijaribu kuapeal utajuta dogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…