funda
Member
- May 9, 2020
- 16
- 5
Hellow wana JF wotee, mm ni kijana wa miaka 20 nipo chuo coz ya clinical medicine mwaka wa 2 , nimetembelea TCU nikaona kuja kusoma degree ya medicine MD mpaka uwe na credit ya chemistry ila mm Nina D yani pass , kwahiyo taishia diploma tuu hata nikifaulu vizuri , nataka niache chuo niende advance nikasome HKL kwan nilifauru vizuri masomo yote ya arts ,, ndoto yangu mm nikupata degree tuu ,, naombeni ushauri wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app