Nataka kuitumia kutoboa kimaisha...unataka heshima kwamba tu una degree au unataka kuitumia iyo degree kutoboa maisha
sijui itakuaje
Hellow wana JF wotee, mm ni kijana wa miaka 20 nipo chuo coz ya clinical medicine mwaka wa 2 , nimetembelea TCU nikaona kuja kusoma degree ya medicine MD mpaka uwe na credit ya chemistry ila mm Nina D yani pass , kwahiyo taishia diploma tuu hata nikifaulu vizuri , nataka niache chuo niende advance nikasome HKL kwan nilifauru vizuri masomo yote ya arts ,, ndoto yangu mm nikupata degree tuu ,, naombeni ushauri wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefatilia nikakuta kujiunga na MD ni diploma ya co with 3.5 GPA or B+ with two credit of o - level for chemistry and biology ,,, sasa mimi chemistry ina missKuna taratibu/miongozo miwili ya TCU,kwa wale wanaotarajia kujiunga na degree (undergraduate)...
Hiyo ulioiangalia ni kwa wale wanaotokea form six,lakini kwenu mnaotokea diploma kuna qualification zenu pia...Miaka ya nyuma ilikuua gpa ya 3.5 kwa miaka hii fuatilia ikoje
Yote ya yote nakushauri endelea na chuo (diploma),kazana upate gpa nzuri,Anza kwa kufanya kazi,baadae baada ya miaka 2 au 3 utajiendeleza degree..(kama vipi pia una gpa nzuri na uko desperate sana na degree utaapply degree)
Sikushauri uende urudi ukasome hkl..sikuizi kuna sekeseke kubwa la mkopo,waweza baadae ukakosa mkopo (kama maisha yako ni ya hhali ya chini),pia kwa masomo ya arts ajira zasumbua
Asantee naomba maoni yako kuhusu hio scenario hapo juuKaribuu sana JF mjukuu wetu upate kufaidi GT.
Hellow wana JF wotee, mm ni kijana wa miaka 20 nipo chuo coz ya clinical medicine mwaka wa 2 , nimetembelea TCU nikaona kuja kusoma degree ya medicine MD mpaka uwe na credit ya chemistry ila mm Nina D yani pass , kwahiyo taishia diploma tuu hata nikifaulu vizuri , nataka niache chuo niende advance nikasome HKL kwan nilifauru vizuri masomo yote ya arts ,, ndoto yangu mm nikupata degree tuu ,, naombeni ushauri wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asantee kiongoz nimekupataHiyo course unayosoma ni nzuri sana pia hajira ni uhakika katika hiki kipindi cha Jiwe wizara ya Afya ameipa kiumbele na hajira nyongi ni Afya na Polisi
Sent using Jamii Forums mobile app