Edward Charles Manyama kujiunga na Azam FC

Ajifunze kwa George Masatu au Canavaro wa Italy sio yule wa Mwanakwerekwe.
Achana na kina masatu ,enzi hizo hata kona ikipigwa kwenda golini mwa simba una hakika mustapha hoza,hussein masha,fikiri magoso wataokoa kwa kichwa bado hujazungumzia makipa yaliyokuwa na mwili..mwameja, nemesi, katuba, mackenzie ramadhan.

Leo kona tukipigiwa ni kushika roho mknoni nazungumzia teams kubwa siyo kina ihefu ,yaani kwa sasa waokoaji kona ni boko na lwanga tu na kennedy...
 
Simba timu bora Afrika Mashariki na Kati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…