Edward Heath aka Ted Heath alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza 1970-1974

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011


Bwana Edward Heath alikuwa mwanasiasa aliyefanikiwa kuingoza nchi yake chini ya chawa cha Conservative kuanzia 1970-1974. Pamoja na mafanikio yake makubwa ni maisha katika maisha yake binafsi bwana Heath hakujaliwa kuoa au kuwa na mtoto.
Baada ya kifo chake nyumba yake imegeuzwa kuwa makumbusho yake.

Kwa minong’ono ya chini inasemekana bwana Heath alikuwa shoga. Aliamua kutokuweka wazungu hisia zake ili kulinda nafasi yake ya kisiasa kwani miaka ya 70 wengi wasingekubali kuongozwa na waziri mkuu shoga.

Hii inaonyesha jinsi ushoga usivyokubalika kwa wengi lakini hasa miaka ya nyuma.

Nyumba aliyoiacha bwana Heath huko Salisbury, Wiltshire.


Nyumba ya bwana Heath inabidi iuzwe kutoka a na kupungua kwa idadi ya wageni wanaokwenda kuangalia makumbusho.

Picha na vito vya thamani pia vitauzwa na pesa zitapelekwa charity. Bwana Heath hakuwacha mrithi wa mali zake.
 
Reactions: T11
Nyumba ya kawaida kabisa
 
Nyumba ya kawaida kabisa
Huyu mtu was a real philanthropist,alikuwa mmoja wa wajumbe wa tume ya Willy Brandt iliyofanya kazi ya uchunguzi wa hali ya umaskini duniani na kisha kutoa mapendekezo mwaka1983 juu ynamna ya kupambana na umaskini.Mtanzania Amir Jamal alikuwa mjumbe pia.
 
He was genius too
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…