Edward Lekaita, Mbunge wa Jimbo la Kiteto Afanya Ziara Kata ya Kibaya na Lengatei

Edward Lekaita, Mbunge wa Jimbo la Kiteto Afanya Ziara Kata ya Kibaya na Lengatei

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MHE. EDWARD LEKAITA, Mbunge wa Jimbo la Kiteto Afanya Ziara Kata ya Kibaya na Lengatei

Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mkoa wa Manyara, Mhe. Edward Ole Lekaita amefanya ziara katika Kata ya Kibaya na Lengatei na kukutana na Makundi mbalimbali ikiwemo Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wa MaishaPlus, Wazee wa Kibaya Mjini na Soko la Kibaya.

Vilevile, Mhe. Edward Ole Lekaita amefika katika familia mojawapo iliyopatwa na msiba ili kutoa pole lakini pia na kushiriki dua ya 40 ya msiba ikiwa ni arobaini ya msiba wa mwananchi wake uliotokea Kibaya ambapo aliwasihi wananchi wote kushirikiana katika mambo mbalimbali ya kijamii.

Aidha, Mhe. Edward Ole Lekaita alifika Kata ya Lengatei ambapo alishiriki Maadhimisho ya wiki ya Wazazi Mkoa wa Manyara yaliyofanyika katika Kata ya Lengatei na kuongozwa na mgeni rasmi Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara, Mhe. Peter Toima.

WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.47.jpeg
WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.44.jpeg
WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.43.jpeg
WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.42.jpeg
WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.41(1).jpeg
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.41.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.41.jpeg
    648.7 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.40.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.40.jpeg
    593.7 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.39.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.39.jpeg
    112.2 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.38(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.38(1).jpeg
    114.2 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.38.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-29 at 05.58.38.jpeg
    109.5 KB · Views: 3
Ila kiongozi kweli unajitahidi kuimudu kazi yako. Natumaini wahusika wanaziona juhudi zako, wakuweke hata sehemu na wewe uanze kula mema ya nchi.
 
Huu wakati mtawaona sana majimboni mwenu,uchaguzi around da kona

Ova
 
Back
Top Bottom