Edward Lowassa na Maalim Seif kuhudhuria mechi ya mpira baina ya Simba na Yanga

Edward Lowassa na Maalim Seif kuhudhuria mechi ya mpira baina ya Simba na Yanga

Zapa RadioFm

Senior Member
Joined
Feb 12, 2016
Posts
112
Reaction score
171
Lowassa na Malim Seif kuhudhuria Mechi baina Yanga na Simba.

Hatimae Lowassa na Malim Seif amekubali Ombi la Vijana wa CHADEMA la kumtaka kuhudhuria mechi ya Simba na Yanga, itakayochezwa Uwanja wa Taifa Tarehe 1/10/2016. Lowassa amekubali Ombi hilo na ataambatana na viongozi mbalimbali ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa NCCR James Mbatia, pamoja na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu
 
Duuuh!!mechi itaahirishwa hii sababu za inteligensia...Maana Uwanja mzima unawez Ukazizima
 
wameishiwa hao!! watawanunulia tiketi mashabiki ili 2020 wawapigie kura?hahahaaaaaaaa
 
SIASA ZA MAIGIZO NA MBWEMBWE ZIMEANZA MAPEMA. MIMI NIKONAJIANDAA KUDEKI BARABARA NA UWANJA MZIMA. HALAFU NA KUZUNGUSHA MIKONOOOO
 
Back
Top Bottom