nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,678
Mapenzi ni nyo*k* sana,,hayana dhamana,bora upende pesa tu mamaaaaaaae
Onyesha ma action yako sasa kama Rambo.
Forget a bout him they all born by one mother take your time.
Hahaha..we hebu muache amalize hasira zake humu
Mwisho wa mapenzi ndiyo mwanzo wa mapenzi.
Mapenzi yana nguvu kuliko Breakdown. Ukisha naswa ni kuburutwa kama gari bovu hujielewi elewi.Eee mungu nisaidie niweze kumsahau!! Sikutegemea kama ingekua hivi nilikupenda zaidi ya sana uliniahidi kunipenda upendo ambao sijawai pendwa!!!! Tulipanga mambo mengi...... kweli malipo ya kukupenda ndo kunitenda huvi na kuniliza hivi eeeh mungu nisaidie niweze kukusahau.
Sasa ndio nini kuja kunitangaza humu. Nilikupa muda hukujirekebisha sasa ulitaka nifanyeje? Una bahati hujanitaja jina humu.Eee mungu nisaidie niweze kumsahau!! Sikutegemea kama ingekua hivi nilikupenda zaidi ya sana uliniahidi kunipenda upendo ambao sijawai pendwa!!!! Tulipanga mambo mengi...... kweli malipo ya kukupenda ndo kunitenda huvi na kuniliza hivi eeeh mungu nisaidie niweze kukusahau.
Mwisho wa mapenzi ndiyo mwanzo wa mapenzi.
charminglady ka kweli uko single na hujazaa ni pm wki ijayo nije tuongee.
Pole sanaEee mungu nisaidie niweze kumsahau!! Sikutegemea kama ingekua hivi nilikupenda zaidi ya sana uliniahidi kunipenda upendo ambao sijawai pendwa!!!! Tulipanga mambo mengi...... kweli malipo ya kukupenda ndo kunitenda huvi na kuniliza hivi eeeh mungu nisaidie niweze kukusahau.