chiko
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 590
- 271
Ndugu wanajamvi, napenda kuwashindikiza kwenye wikiendi na maombi ninayo oomba kila kuchao!!!!"Ewe Mwenyezi Mungu niepushe na Mali nyingi", kwanini nasema hivi, kwa sasa kipato changu nashkuru si cha juu na sio chini, napata mahitaji yangu na familia, lakini kwa muelekeo ni navyoona kwenye maisha ya kileo, mali ndo ina poromosha maisha mengi ya Binadamu haswa waume kwa familia zao. Visa ni vingi sana, kina Tiger Woods, Michael Jordan, hivi karibuni Swarzenneger na wengine wengi ambao kama wangekuwa watu wa kawaida hawangepata shida nyingi.
Nina maanisha, Kipato kikiwa kingi, mtu hujisahau, na hata kumdhihaki maulana, ndio humwambia shemegi yenu pia aniombee sana niendelee na hivi nilivyo, kwani nikitajirika, majaribio ni mengi na kujificha itakua vigumu!!!!
JIM BACKUS " Many a man owes his success to his First wife, His second Wife to his Success", Weekend Njema Jamani!!!!!!
Nina maanisha, Kipato kikiwa kingi, mtu hujisahau, na hata kumdhihaki maulana, ndio humwambia shemegi yenu pia aniombee sana niendelee na hivi nilivyo, kwani nikitajirika, majaribio ni mengi na kujificha itakua vigumu!!!!
JIM BACKUS " Many a man owes his success to his First wife, His second Wife to his Success", Weekend Njema Jamani!!!!!!