Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,240
Katika mizunguko yangu nimekutana na hii cement ya nje toka Pakistani iko bwelele sokonni i mean nyingi.
Serikali walipojiwa jiwa juu na viwanda vya ndani ikasema inataka fair competition.
Swali utacompete na mtu ambaye bei yako ya umeme iko juu kwa uwiano wa 1:2.5?
.
Mbaya zaidi viwanda vyetu sasa vingine vimesimamisha production for weeks now since stock iko nyingi.
As a result TRA na TANESCO watakuwa seriuously impacted bse kuna viwanda vilikuwa vyalipa umeme mpka milioni 300.
Twende kwenye ajira, hali ikiendelea kuna uwezekano hivi viwanda vikappunguza wafanyakazi ambao ndio wapiga kura ? Leave alone indirect employment!!!!
Tanznia tunaenda wapi?Worse still in such a recession unajaribu kuinua uchumi wa Pakistani kwa kuudororesha wetu.
Serikali walipojiwa jiwa juu na viwanda vya ndani ikasema inataka fair competition.
Swali utacompete na mtu ambaye bei yako ya umeme iko juu kwa uwiano wa 1:2.5?
.
Mbaya zaidi viwanda vyetu sasa vingine vimesimamisha production for weeks now since stock iko nyingi.
As a result TRA na TANESCO watakuwa seriuously impacted bse kuna viwanda vilikuwa vyalipa umeme mpka milioni 300.
Twende kwenye ajira, hali ikiendelea kuna uwezekano hivi viwanda vikappunguza wafanyakazi ambao ndio wapiga kura ? Leave alone indirect employment!!!!
Tanznia tunaenda wapi?Worse still in such a recession unajaribu kuinua uchumi wa Pakistani kwa kuudororesha wetu.