EFI fuse nini?

EFI fuse nini?

resonanceiduufu

Senior Member
Joined
Jul 29, 2016
Posts
112
Reaction score
62
Nmeambiwa niichomoe kwa sekunde 15 kwenye fuse box ili nifute faults baada ya kuwa nmechomoa THA na THW sensors kwenye gari!!
 
Nmeambiwa niichomoe kwa sekunde 15 kwenye fuse box ili nifute faults baada ya kuwa nmechomoa THA na THW sensors kwenye gari!!
GARI AINA GANI MKUU .kuna zingine hata uchomoe haiwezi kukubali hapo kamww sio fundi fanya hivi badala ya kuhangaika na hiyo fuse ww chomoa terminal ya negative kwenye betri kwa huo mda .

EFI ni Electronic Fuel Injection
 
Back
Top Bottom