Efm na Tv E wanaisimamisha Mwanza muda huu!

Unko T

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
200
Reaction score
266
Hii Media House ni tishio sana kwa uwepo wa radio na tv nyingine.
Wamepiga promo kwa tv na radio yao tu na kuisimamisha mwanza. Hapa ndipo nguvu ya Media inapoonekana.

Ngoja niendelee kuruka na Stamina bhana, napost huku burudani inanipita.


 
Watu wapo kwenye burudani lakini wanaonekana wana mawazo!

Ila yote heri.
 
Biko nasikia ndio wamedhamini...kiingilio buku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…