Hivo Yani ni unyama kinouma.View attachment 3219177
Akanunue pad tu afurahie eFootball 😂
Unyama sana 😂
Mbona siwaoni online wazee wa kupashaMkuu
Nikipata muda baadae tujaribu kwa kutumia code maana naona kwa kuinvite inakuwa tatizo kidogoMkuu
MkuuSawa
1858-2513Yeah, tuma code Kam upo free
Tumegawana kutawala mchezo kwa vipindi bahati imekuwa upande wako kwa ushindiTuguse now?
Og✊🏿
Game ya mwisho nimetumia ubaya ubwela mkuu 😂Naona hivo mkuu😂ila sijapenda the last game
Hivi hichi kikosi chako unapanga mwenyewe au unatumia autopick players?
Kama lile goli la pili ingekuwa uhalisia tungesema kipa kauza mechi 😂Sema nilikuwa na mawenge tu nimechoma sanaa😂