eFootball Special Thread

Edo kissy Naanza kujitafuta tena ile account wameniibia, unfriend ile account mkuu 😂.

Nimetuma taarifa konami wameniambia inaweza chukua wiki 1 au 2 kunipa majibu.
 
Kuna watu wako serious sana hadi katika vitu vidogo kama hivi yani mtu kuiba account ya game imeniuma kwakuwa naanza upya ila imenifurahisha pia 😂, nilijichanganya mwenyewe tu mkuu
Sawa mkuu pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…