Eb nikaze nakaribia div 2View attachment 3231783
Kikubwa kutokata tamaa. Si wengine tia maji lakini tunaforce hivyo hivyo division 1
Ngoja nalishusha week hii hili nianze nalo
Kuna watu wako serious sana hadi katika vitu vidogo kama hivi yani mtu kuiba account ya game imeniuma kwakuwa naanza upya ila imenifurahisha pia 😂, nilijichanganya mwenyewe tu mkuu.Duuh wameibaje mkuu pole
Ni kama account yangu mpya, natafuta coins za kumchukua kocha(Frank Lampard) collective strength ipande.View attachment 3234068
My another account sema huwa naipotezea sana
Simtaki tena lampard update imekuja na morinho 😂Pamoja mkuu tushindane kukuza😂🙌🏿
Poa huku taratibu nafanyia mazoezi playstyle za mourinho.Tukuze kikosi mkuu
Naweza nikakutafuta na kikosi changu hikihiki mkuu.Sawa mkuu