kesho naacha, em weka location basi, natoka Dondwe chap mpaka mjini hukokama umeacha mchezo wako uje ule ubwabwa
Madam Mi hunijui? maana hujani quote, una bahati mbaya sanaAssalam alayqum !!
Eid Mubaraq kwa wana Jamii Forums wote hasa hasa waislam, tumefunga vizuri kwa amani, wale waliopata matatizo, Allah atawaaf inshallah mambo yatarudi mahala pake.
Msisahau zaqatul fitr jaman kuinyanyua saum yako kwa wale watakaojaaliwa
Half american
Mtoto halali na hela
Intelligent businessman
Glenn
mkuje mkuje tufurahi pamoja,
dronedrake kama umeacha mchezo wako uje ule ubwabwa na wooooote niliowasahau karibuni tufurah pamoja.
jamani eid mubaraq The Burning Spear usije ninyima hio hela ya abayaMadam Mi hunijui? maana hujani quote, una bahati mbaya sana
Dondwe mbele ya Mvuti tu hapo, natoka saa 10 alfajiri hukuwewe utafika kesho kutwa dondwe ndio wapi
drone unakumbukwa kny pilau tugawane basikesho naacha, em weka location basi, natoka Dondwe chap mpaka mjini huko
πππππ
sasa tutafanyeje wkt uko mbalikwa nn ule kuona??
daah siyo Kinondoni tena ?tanga utafika saa ngapi
daah, ni Tanga mzeedrone unakumbukwa kny pilau tugawane basi