Huyo aachi kupiga nyeto, rais wao huyo anaachaje, Ila Mimi nimepokea kwa mikono miwili kesho nakaribia huko nije kuufinya uchele@dronedrake kama umeacha mchezo wako uje ule ubwabwa na wooooote niliowasahau karibuni tufurah pamoja.
Taqabalallaahu minna wa minkumsawa, eid mubarak
Ni upendo tu umenionesha upendo nikarudisha upendo then unakimbia 😃ndio mana nikacheka mana nimekuelewa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Tupe location
Mashangazi wawepo View attachment 2595539
Sasa unaogopa nini?naogopa
Dondwe ni wapi nchi hiiniko Dondwe, mwaliko Tanga
nimekosa kitu
mbele ya Mvuti(Ilala) kwa mbele kidogoDondwe ni wapi nchi hii
Taqabalallaahu minna wa minkumEid imeshapita
Ndio kutakua na uchele hapo vipi anaanguka Ng'ombe au Ndama ?mbele ya Mvuti(Ilala) kwa mbele kidogo
Unaogopa upendo wa agape?upendo
Ndio hapo Dondwe njia ya Mvuti Ilala kwa mbele ?kkaribu sana