Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
May I joinkwani mnaenda wapi hii sikukuu wengine tuko nyumbani miguu juu tunaangalia movie😂
Kumbe mnatokaga? Mbona wengine ndio kwanza tunaamka 🤔kwani mnaenda wapi hii sikukuu wengine tuko nyumbani miguu juu tunaangalia movie😂
😂😂😂😂mi sina pa kwendaKumbe mnatokaga? Mbona wengine ndio kwanza tunaamka 🤔
Sio kweli. Huwezi kosa mtoko tajiri 😅😂😂😂😂mi sina pa kwenda
mbali sana Rongoni sio apo karibu na mikadi Beach njoo wavuvi camp cocoAnaetaka beer za sikukuu aje hapa Rongoni beach kigamboni
Siendagi sehemu za kishua bosi..mbali sana Rongoni sio apo karibu na mikadi Beach njoo wavuvi camp coco
Anachekewa nipo maeneo ya Mwenge karibu karibu na Pizza hutUtaniachia kipande kimoja basi 😅
hapana lolote kawaida tu kuna had mihogo ya 500Siendagi sehemu za kishua bosi..
Nikitoka hapa naelekea tabata small planet
Beer wanauzaje?hapana lolote kawaida tu kuna had mihogo ya 500
beer parefu inafika 8000Beer wanauzaje?
Acha hizo, waarabu walishaweka vazi la taifa lao ndio litumike. Ndio vazi pekee Mungu analitambua, haya mengine ni takataka.Kupendeza hasa unapotoka ni katika namna ya kuisherehekea, mim nitatokelezea kwa namna hii( T-shirt nyeupe, surual ya kadeti na raba nyeupe).
Vip kwako, mtoko upi utatokelezea nao..?