Ngoja nikutabirie,
Wewe umezaliwa April watu waliozaliwa kipindi cha baridi huwa wanapatwa na ugonjwa mbadala wa ngiri baridi yaani unapatwa na hamu kali kila mara.
Pia inaonyesha wewe ni mwanaume mwaminifu ndio maana unafatwa na majini kwa vile na yenyewe huwa yana wivu na yanaogopa ukimwi kama ukoma.
TABIBU/USHAURI
Unashauriwa kuoa haraka na usioe mwanamke mwembamba unaweza kupata murder case kwa vile mnatumia nguvu nyingi na muda mrefu kwenye ili kupunguza hasira ya mzee wako. Ukitaka kuaini nayosema kila ukinyanyua uzito mkubwa unatoa hayo maji yanayosababisha mtoto(sperms)
Mkeo lazima apende manukato na aepuke kuvaa baibui ili kukuvutia muda wote.