Ejaculation During Exercise

Pole Masa, hope utapata solution ya tatizo lako..

On a serious note,huendi church leo? J5 ya majivu..

Thank you baby! Nimesali asubuhi kabla sijaja kazini, Ijumaa njia ya Msalaba! Asante kwa kadi
 
hahahahah ur gay , ume ona jamaa ana muscle pembeni, ukawa turned on..umesema mwenywe kwenye gym hakuna mademu... kik
 
hahahahah ur gay , ume ona jamaa ana muscle pembeni, ukawa turned on..umesema mwenywe kwenye gym hakuna mademu... kik

Mtoto wa Kishua!
Umeuwa babu, sina feeling hizo kabisa na njemba nyenzangu! lol, this is too illogical to make sense, its something to do with muscles mazee, unapozistress physically muscles sasa inapotokea relaxation hiyo hupelekea kupiga bao bila kujijua.
 



Kumbe Majini yanauguaga UKIMWI??
 
Mkuu Masa... ilo ni jambo la kawaida kuna jamaa yangu alipata ajali ya kugonga mti kwa Gari... akamalizia hapo hapo...
 
Hii mie ilinitokea nafanya test ya physics form five baasi maswali yakanigonga sana na ilikuwa ndiyo test yangu ya kwanza ya physics A-level mara ghafla teacher akasema timeover looh nilijipizia hapohapo nikashangaa sana
 
Hii mie ilinitokea nafanya test ya physics form five baasi maswali yakanigonga sana na ilikuwa ndiyo test yangu ya kwanza ya physics A-level mara ghafla teacher akasema timeover looh nilijipizia hapohapo nikashangaa sana

Mambo ya stress hayo! Mwisho wasiku najua ulipata principal kwenye ACSEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…