Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Hahahaha hii imetumika Google translator au?
 
Hahahah Babu Asprin hulali saa ngapi huko nuliko? Unajuwa kutafsiri ni kazi kubwa bora usome hivyo ilivyo kuliko kutafsiri.
Tutalalaje mkuu na hali ngumu hii? Na si unajua watani zetu wanamchagua JK wao..... basi ni Full kufuatilia.
 
Tutalalaje mkuu na hali ngumu hii? Na si unajua watani zetu wanamchagua JK wao..... basi ni Full kufuatilia.
Ndio mungojee Mpira unaokuja wa Fainali Kombe Uwanjani kati ya SISI -EMU Na Wapinzani nani atakuwa Mshindi wa hilo kombe la uhuru na Demokrasia mwaka unao kuja wa 2013? Mkuu Asprin Ombea kwa Mungu chama chako Kishinde uchaguzi ujao je kita Tatuwa Matatizo ya Wananchi kweli? Shida ya maji,Mgao wa Umeme,Madawa hospitali, Maradhi ya Ukimwi na Malaria yatondoka. Elimu kuwa duni na Umasikini utaondoka nchini Tanzania?
 
Mi nshajichokea na siasa. Sina muda wa kuhangaika na vyama. Mi naihangaikia familia yangu. Ipate umeme, tiba, maji, elimu. Familia kwanza, Taifa baadae.....
 
cha muhimu ni kujiamini tu....practice make perfect...ukiwa na ukame sana hii mara nyingi utokea but ukifanya mara kwa mara utaona kawaida na utakuwa fresh mkuu, though tumsubiri mkuu MziziMkavu..
Mkuu Scofied
Namna kujitibu maradhi ya kuwahi kushusha manii haraka wakati wa tendo la ndoa na bila kujitibu wanaathirika wote khususan mwanamke.
Madawa yake ni:


1.Tangawizi.

2.Uwatu.
3.Asali.
4.Mdalasini.

Chukua unga wa tangawizi kiasi cha vijiko vitatu vya chakula kisha changanya na dawa iitwayo uwatu unga wake kiasi cha vijiko vitatu vya chakula, na hakikisha madawa haya ni ya unga yaani yatwange hadi yawe unga kisha chemsha kwa maji glasi tatu baada ya kuchemsha

hakikisha glasi moja inapotea kwa kuchemsha, halafu mgonjwa wa tatizo hilo atakuwa akijipaka kwenye dhakari yake na kwenye korodani kila siku mara moja na wakati anatumia

dawa hiyo itamlazimika atumie asali kijiko kimoja cha chakula na mdalasini kijiko kimoja cha chai kila usiku anakula dawa hiyo mara moja kwa siku muda wa siku kumi natano au ishirini

Inshaallah atapona. Mtu akitumia dawa yangu Tafadhali anipe Feedback.
chanzo.MziziMkavu

 

hahaha!mkuu umetisha
 


Hiyo ni herbal lotion ya miti shamba na kidogo bei yake hipo chini







Zote ni dawa zinafanya kazi sawa na ujazo tofauti na kampuni tofauti

kama unaitaka moja wapo mpigie mwana campuni wangu hapa 0753932250


NOTE:HARAZIMISHWI MTU KUNUNUA LKN KAMA UNA TATIZO BASI WE WEKA ORDER NA KAMA UNAONA THREAD HAIKUHUSU PITA BILA KUWEKA MAWAZO YASIYOKUWA NA TIJA

SITAKI KUKEREKA
 
mi huwa napiga goli moja tu,ila lazima nihakikishe mwenza wangu amefika juu ya kilele,,je hii dawa inanihusu?
 
So, inaweza kukufanya ucheze na mwenziwe hadi dakika ngapi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…