Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Asante sana ubarikiwe tutaufanyia kaz ushauri wako
 
Mwenzang round ya 2 haend wala ya 3 ila tunapendana tena sana tu kula anakula vzur hapo kwenye stress ndo cjajua coz na haya maisha yalivyo na ugumu sasa cjui kichwan kwake
Wewe ulikuwa unataka aende hadi dakika ngapi?
 
Kiongozi usitake kushindana na ulipotoka.
 
sasa kuwahi au kuchelewa ina depend.. bao la kwanza lazima liwahi inategemea umemuandaaje.. na ww mwenyew ulivyo (mnato) lazima awahi hat 3secs.

ishu cha kuzingatia je akimwaga hilo bao la kwanza ANAWEZA KUENDELEA NA BAO LA PILI mpaka bao la tano? hapo ndipo pa muhimu sana.. kama anaweza basi ni maswala ya kisaikolojia.. ila kama hawez basi ni maswala ya afya ya uzazi.. aende apate tiba
 
We ni me au ke
[emoji849][emoji849]
 
Basi kabla ya mgegedo apige nyeto au mnyweshe nyagi..
Nyie si ndo mnavyotaka
 
At least zifike bac hata 10 jaman
1. Mwambie afanye kitu kinaitwa Kergel Exercise,mwambie asome hii link ya chini.

Kegel exercises for men

2.Ale vyakula vinavyoongeza libido...Pitia link hiyo ya chini angalia ambavyo anaweza kupata kwa urahisi ndio apendelee kutumia.

18 Powerful Foods That Boost Your Sex

3.Tatu Mchawi ni Wewe,Je unaplay part yako vizuri? Manjonjo unayo,Unajisexisha,Unamnyegesha,Mitego,Mahabati? Play your part right.
 
Nakupinga mkuu!!
Ujue kuwahi kufika sio tatizo tatizo ni je anaweza kuunganisha? Au anaweza endelea baada ya dk chache?
 
Mkuu la kwanza unalijua au wasema tuu,
Mi nashauri ajijengee mazoea ya kuunganisha akikojoa la kwanza ajitahidi aweze kuendelea bila kupumzika
 
Mkuu hii kitu imenifanya mpaka ntafune na wanafunzi lakina ni vile vile tuu.
Wee umeadhirika na kutokua na ham na papuchi, vinginevyo hata kwa nyeto usingekojoa, jiandae kuoa mkono mkuu maana hata ukioa unaweza usipate mtoto kwa kujua huwezi mkojolea mwanamke
 
Asante kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…