Waziri Mkuu Mstaafu EL akiwasili Mwanga Kilimanjaro kwa ajili ya kuendesha harambee ya kukusanya michango kwa ajili ya shule ya Kiislam, EL alitoa milioni 10 kama mchango wake, Waziri Maghembe anaonekana nyuma yake (Picha na habari kwa hisani ya Michuzi blog).