Elanga, Mchezaji wa Manchester United anayelipwa mshahara mdogo. Ahamie Everton ama Nottingham Forest

Elanga, Mchezaji wa Manchester United anayelipwa mshahara mdogo. Ahamie Everton ama Nottingham Forest

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Winga machachari wa Manchester united mswidi Antony Elanga 21, ndie mchezaji wa mwisho kwa kulipwa mshahara kwenye timu yake ya Manchester united.

72475565-12228461-image-m-50_1687555670583.jpg

Elanga analipwa pauni za ungereza elfu 5 (5000£) kwa wiki. Ambacho kusema kweli ni kidogo mno kwa kaliba yake. Kibongo bongo siyo haba.

Timu mbili za Primier league zinamgombania saini yake Everton na Nottingham Forest. Elanga ambaye thamani yake ni pauni million 10 inaelekea atahamia Nottingham Forest ambapo anauhakika wa kupata nafasi katika kikosi cha kwanza ukilinganisha akienda evarton. Pia akijiunga na Forest atakunja mkwanja mrefu wa 80,000 € kwa wiki kwa iyo kwa mwezi laki tatu na ishirini.

Mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote Man United sasa hivi baada David de Gea kuondoka ni Marcus Rashford 25. Rashford anakunja kwa wiki 375 k €. Na Antony Elanga anakunja 5 K €. Hakuna uwiano kabisa. Ahame tu.

Chini ni orodha ya mishahara wachezaji wa Manchester united wanapokea kwa wiki

1. David De Gea - £ 375,000 (kahama)

2. Jadon Sancho - £350,000

3. Raphael Varane - £340,000

4. Casemiro - £300,000

5. Anthony Martial - £250,000

6. Bruno Fernandes - £240,000

7. Antony - £200,000

8. Marcus Rashford - £200,000 (umepanda sasa hivi ni 375 K)

9. Harry Maguire - £189,904

10. Christian Eriksen - £150,000

11. Luke Shaw - £150,000

12. Fred - £120,000

13. Victor Lindelof - £120,000

14. Lisandro Martinez - £120,000

15. Donny van de Beek - £120,000

16. Aaron Wan-Bissaka - £90,000

17. Mason Greenwood - £75,000

18. Phil Jones - £75,000

19. Tyrell Malacia - £75,000

20. Brandon Williams - £65,000

21. Scott McTominay - £60,000

22. Marcel Sabitzer - £55,000

23. Tom Heaton - £41,923

24. Diogo Dalot - £25,000

25. Facundo Pellistri - £20,000

26. Anthony Elanga - £5,000
 
Bukayo Saka mshambuliaji wa Arsenal naye alianzaga na mshahara mdogo kama Elanga. Lakini sasa hivi anakunja pauni za babu kwa wiki 270k
 
Vijana wa Rage nyuzi kama hizi huwa hawasomi. Ila kipindi kile Fei Toto analeta mambo yake ya kitoto; walikuwa mstari wa mbele kujifanya wanajua sana sheria za FIFA, mishahara ya wachezaji, nk.
 
Unajua kwa nini hao wachezaji wanalipwa pesa hiyo?
Unadhani walianza kwa mshahara huo?
huyu nae anapaswa kuupiga mwingi kama hao wenzake aone kama hawapiti hata hao.
 
Back
Top Bottom