Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Mwanaume mmoja amuua mkewe kwa kumkata na panga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kumteketeza kwa moto
Mwanaume huyo aliyerejea kutoka Marekani mwezi mmoja uliopita yaelezwa kuwa alikuwa kwenye mgogoro na mke wake
Wawili hao wameelezwa kuwa ugomvi wao umekuwa gumzo katika mtaa wanaoishi kwani ni kawaida kugombaba hadharani
======
A man hacked his wife to death and burnt her body after a domestic quarrel in Eldoret.
Eldoret East police boss John Owuor said the suspect has been arrested after the incident that occurred last night.
Owuor said the man returned from the US last month and is said to have had bitter differences with his wife.
Police said the suspect used a sharp panga to cut the woman all over her body. He then took the body to a pit latrine in the compound and set it on fire.
- The Star Kenya
Mwanaume huyo aliyerejea kutoka Marekani mwezi mmoja uliopita yaelezwa kuwa alikuwa kwenye mgogoro na mke wake
Wawili hao wameelezwa kuwa ugomvi wao umekuwa gumzo katika mtaa wanaoishi kwani ni kawaida kugombaba hadharani
======
A man hacked his wife to death and burnt her body after a domestic quarrel in Eldoret.
Eldoret East police boss John Owuor said the suspect has been arrested after the incident that occurred last night.
Owuor said the man returned from the US last month and is said to have had bitter differences with his wife.
Police said the suspect used a sharp panga to cut the woman all over her body. He then took the body to a pit latrine in the compound and set it on fire.
- The Star Kenya