Electrical Technician interview TRC

Electrical Technician interview TRC

Mike Moe

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2019
Posts
319
Reaction score
335
Poleni na majukumu wanajamii kwa wale ambao mmewahi kupita utumishi kufanya interview ya electrical technician TRC karibu kuchangia interview ilikuaje maswali yalioulizwa pia hata kwa wale mnaoenda kufanya interview siku ya jumamosi mwezi huu tuje kushare madesa tunaikabili vipi interview hii.
 
Poleni na majukumu wanajamii kwa wale ambao mmewahi kupita utumishi kufanya interview ya electrical technician TRC karibu kuchangia interview ilikuaje maswali yalioulizwa pia hata kwa wale mnaoenda kufanya interview siku ya jumamosi mwezi huu tuje kushare madesa tunaikabili vipi interview hii.
Huu uzi ndiyo unanihakikishia kuwa Watanzania tunafeli vibaya sana, kuanzia namna ya kuajiri watu kwenye mashirika makubwa mpaka namna ya kuyaendesha.

Huko ilitakiwa vijana wanachomolewa kwenda kufanya parttime kuanzia wako shule za veta mpaka wanamaliza vyuo, wanajuwa kabisa wao ni wafanya kazi wa wapi, na michujo inatembea wakati wapo kazi za part time, bila mtu kuumizwa wala kujijuwa.

Watanzania tu wajinga sana, hatuna mipango, sera wala taratibu zinazotekelezeka kwa ufanisi, tunajuwa kuzima moto tu.
 
Baadhi ya wachangiaji wamekuwa wajinga wajinga sijui ni stress za maisha, baada ya kusaidia kile mtoa mada anachoitaji wao wameconcentrate na mipasho isiyona maana yoyote
 
Huu uzi ndiyo unanihakikishia kuwa Watanzania tunafeli vibaya sana, kuanzia namna ya kuajiri watu kwenye mashirika makubwa mpaka namna ya kuyaendesha.

Huko ilitakiwa vijana wanachomolewa kwenda kufanya parttime kuanzia wako shule za veta mpaka wanamaliza vyuo, wanajuwa kabisa wao ni wafanya kazi wa wapi, na michujo inatembea wakati wapo kazi za part time, bila mtu kuumizwa wala kujijuwa.

Watanzania tu wajinga sana, hatuna mipango, sera wala taratibu zinazotekelezeka kwa ufanisi, tunajuwa kuzima moto tu.
Si ndio hao watakao faulu interview watapewa traine inayohusu mifumo ya train tu. Pia kwa upande wa tanesco wale wanao faulu interview Huwa wanapelekwa school of tanesco kwa ajiri ya traine inayohusu Mambo ya tanesco tu. Electrical technician Ana Wigo mpana Sana wa kazi.
 
Si ndio hao watakao faulu interview watapewa traine inayohusu mifumo ya train tu. Pia kwa upande wa tanesco wale wanao faulu interview Huwa wanapelekwa school of tanesco kwa ajiri ya traine inayohusu Mambo ya tanesco tu. Electrical technician Ana Wigo mpana Sana wa kazi.
Umeongea vizur sana mkuu
 
Si ndio hao watakao faulu interview watapewa traine inayohusu mifumo ya train tu. Pia kwa upande wa tanesco wale wanao faulu interview Huwa wanapelekwa school of tanesco kwa ajiri ya traine inayohusu Mambo ya tanesco tu. Electrical technician Ana Wigo mpana Sana wa kazi.
Hapo ndipo fikra zako zilipoishia kufikiri?

kwanini iwe hivyo utakavyo wewe, kwani zamani tulipokabidhiwa reli na Muingereza ilikuwa? Au umekurupuka tu bila utafiti japo kiduchu?
 
Hapo ndipo fikra zako zilipoishia kufikiri?

kwanini iwe hivyo utakavyo wewe, kwani zamani tulipokabishiwa reli na Muingereza ilikuwa? Au umekurupuka tu bila utafiti japo kiduchu?
We nae hujui lolote. Wala hujaelewa mjadala unahusu Nini.
 
We nae hujui lolote. Wala hujaelewa mjadala unahusu Nini.
Sema yamekuingia tu, umekosA jibu sasa unajaribu kunivaa binafsi. Nafahamu ndipo upeo wako uliupofikia.

Nimewacha kuwashangaa kondoo siku nyingi sana.
 
Sema yamekuingia tu, umekosA jibu sasa unajaribu kunivaa binafsi. Nafahamu ndipo upeo wako uliupofikia.

Nimewacha kuwashangaa kondoo siku nyingi sana
We mwehu tu, una ujua upe
Sema yamekuingia tu, umekosA jibu sasa unajaribu kunivaa binafsi. Nafahamu ndipo upeo wako uliupofikia.

Nimewacha kuwashangaa kondoo siku nyingi sana.
We mwehu kbsaa,una ujua upeo wangu unapoishiaa?? Yaan ujinga ujinga wako unao andika ndio ujilinganishe na upeo wanguu?
 
We mwehu tu, una ujua upe

We mwehu kbsaa,una ujua upeo wangu unapoishiaa?? Yaan ujinga ujinga wako unao andika ndio ujilinganishe na upeo wanguu?
Si nauhisi hapo kwenye maandiko yako, upeo wa muono wako umeishia mwisho wa pua yako.
 
Watu mmeshia kutupiana vijembe kwenye hii nyuzi badala ya kutoa msaada wa kilichoulizwa
 
Back
Top Bottom