Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu, nchi zote hizi mbili bado sana kwenye maswala ya umeme! Kazi ipo!Tanzania kwa longo longo hatujambo. Tuzungumzie household zimeunganishwa na siyo vijjiji vilivyounganishwa. Ukweli usiofichika pamoja na kijiji kuunganishwa umeme ni nyumba chache tu kijijini zimeunga umeme. Hili ni tatizo la kutazamwa kwa undani zaidi.
9,000 out of 12,000 villages r officially connected!
Just to point out Jambo moja...By 2030 Tanzania wanakadiria kugenerate 2300Mw ilhali Kenya kwa sasa iko na kiasi hicho hicho in 2020. babayao255 Tanzania iko nyuma ya Kenya zaidi ya miaka 20
Endelea kuficha kichwa kwenye mchanga na kujipa matumaini ya kipumbavu.Just to point out Jambo moja...By 2030 Tanzania wanakadiria kugenerate 2300Mw ilhali Kenya kwa sasa iko na kiasi hicho hicho in 2020. babayao255 Tanzania iko nyuma ya Kenya zaidi ya miaka 20
Ukiona Geza akipotelea uzi huu fahamu amefunguka macho.Just to point out Jambo moja...By 2030 Tanzania wanakadiria kugenerate 2300Mw ilhali Kenya kwa sasa iko na kiasi hicho hicho in 2020. babayao255 Tanzania iko nyuma ya Kenya zaidi ya miaka 20
Duh !Just to point out Jambo moja...By 2030 Tanzania wanakadiria kugenerate 2300Mw ilhali Kenya kwa sasa iko na kiasi hicho hicho in 2020. babayao255 Tanzania iko nyuma ya Kenya zaidi ya miaka 20
Hii data si sahihi , iko hivi hivi tokea enzi za Jakaya Kiwete, haijawahi badilika , sio sahihi hata kidogo
Kumbuka sio data ya mwaka huu. Ikiwa una ya 2020 tusaidie mkuu.Hii data si sahihi , iko hivi hivi tokea enzi za Jakaya Kiwete, haijawahi badilika , sio sahihi hata kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Just interpreting data given by respective countries. Kubali unyonge uweze kutatua badala ya kuticha kichwa mchangani alafu Kati yangu na wewe nani mwenyewe matumaini ya kipumbavu ukizingatia 1350Mw Tz na 2300Mw Kenya?Endelea kuficha kichwa kwenye mchanga na kujipa matumaini ya kipumbavu.
Huwa unafaidika nini kupunguza namba?Just interpreting data given by respective countries. Kubali unyonge uweze kutatua badala ya kuticha kichwa mchangani alafu Kati yangu na wewe nani mwenyewe matumaini ya kipumbavu ukizingatia 1350Mw Tz na 2300Mw Kenya?
tokea rais akiwa Kikwete, Kipindi muhongo anakua waziri wa nishati, ndie alieitoa tanzania kutoka 24% hadi hapo 36, kabla hata ya escrow..na hii ilikua ikutumika kama utetezi , japokua ana madudu ila kafanya vyema kuliko mawaziri wote hivyo asamehewe.. ni data hiyo hiyo mpaka leo hii, haijawah badilika ..uongo mtupuKumbuka sio data ya mwaka huu. Ikiwa una ya 2020 tusaidie mkuu.
Itagonga 100% in the next 3 years huku Kunyaland ikiendelea ku-argue na 36%!tokea rais akiwa Kikwete, Kipindi muhongo anakua waziri wa nishati, ndie alieitoa tanzania kutoka 24% hadi hapo 36, kabla hata ya escrow..na hii ilikua ikutumika kama utetezi , japokua ana madudu ila kafanya vyema kuliko mawaziri wote hivyo asamehewe.. ni data hiyo hiyo mpaka leo hii, haijawah badilika ..uongo mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hujatusaidia. Tupe asimila kufikia mwaka huu au jana. Au huna?tokea rais akiwa Kikwete, Kipindi muhongo anakua waziri wa nishati, ndie alieitoa tanzania kutoka 24% hadi hapo 36, kabla hata ya escrow..na hii ilikua ikutumika kama utetezi , japokua ana madudu ila kafanya vyema kuliko mawaziri wote hivyo asamehewe.. ni data hiyo hiyo mpaka leo hii, haijawah badilika ..uongo mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya Basi ni 1500MW mumeipiku Kenya sasa 😀Huwa unafaidika nini kupunguza namba?
bwahahahahahahahaha.......Itagonga 100% in the next 3 years huku Kunyaland ikiendelea ku-argue na 36%!