EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Hivi haka kadude kanauzwa pesa ngapi hadi TFF na Azam FC, Simba SC, Yanga FC wameshindwa kuvinunua.
Hadi leo wanatumia kidude kama cha sheli za kienyeji.
Nchi inamiliki Uwanja mkubwa kama wa Mkapa tunafelije hii kitu?
Hadi leo wanatumia kidude kama cha sheli za kienyeji.
Nchi inamiliki Uwanja mkubwa kama wa Mkapa tunafelije hii kitu?