EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Yanga Simba au Azam zinunue za kufanyia niniHivi haka kadude kanauzwa pesa ngapi hadi TFF na Azam FC, Simba SC, Yanga FC wameshindwa kuvinunua.
Hadi leo wanatumia kidude kama kama cha sheli za kienyeji.
sa kanatumika wapi mbona Kwa Mkapa sijawahi kukaona??Haizid laki hapa bongo mkuu
ni ujinga kushindwa kumiliki haka kakituAfu haya mateam utasikia yanajiita ya Kimataifa, hopeless kabisa.
Mwakalebela π πKufumba na kufumbua pap kashanunuliwa,
Tarajia nani kwenda kukizindua? ...mimi nafikiri maalim sefu ππ
Wewe je unadhani nani atafaa kwa uzinduzi.
Hii bongo mkuu huwez jua labda hujuma tuusa kanatumika wapi mbona Kwa Mkapa sijawahi kukaona??
$30Hivi haka kadude kanauzwa pesa ngapi hadi TFF na Azam FC, Simba SC, Yanga FC wameshindwa kuvinunua.
Hadi leo wanatumia kidude kama kama cha sheli za kienyeji.
Watu wana njaaHata mimi nakerwa sana na lile dubwana la kubonyeza minamba. Karne ya 21 sijui tunakwama wapi ?
Ukiachia udhamini kwani kama TFF kama msimamizi wa ligi anashindwaje kuvinunua hata vichache au AZAM akanunua cha kutuika CHAMAZI COMPLEX?Electronic FSB kwa gharama sio yakuzishinda taasisi kama TFF au TPLB au vilabu. Kwa ligi zilizoendelea Premier League, Bundesliga, La Liga, ABSA Premier League (Afrika Kusini) huwa ni udhamini kutoka kampuni husika kuweza kutangaza biashara hasa saa (Watches/Clocks).
Tunaweza kuona PL wakiwa na udhamini mnono kutoka TAG Heur kampuni toka Uswissi, moja ya vipengele ni officials kuwa na boards mbili, timu kuingia uwanjani na boards mbili, TAG Heur kutumika katika runinga mainly vitu vinavyohusisha muda, nk.
All in all! TFF, TPLB na Vilabu watafute udhamini kutoka kwa wadau.
Hizo board ni mali ya TFF sio vilabu.....kwahiyo kama ni kulaumu walaumu TFF sio vilabu.Hivi haka kadude kanauzwa pesa ngapi hadi TFF na Azam FC, Simba SC, Yanga FC wameshindwa kuvinunua.
Hadi leo wanatumia kidude kama kama cha sheli za kienyeji.